msichana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MR.NOMA

    Msichana alivyonizingua na kuniacha, sielewi kitu

    Wanajanvi kwema? Ninaleta kwenu stori ya kweli ya mkasa uliyonikumba mimi mwenyewe hivi karibuni. Miezi minne iliyopita nilikuwa safarini kutokea Singida Kuja Dar, nikiwa stend Singida nilipanda bas lililotokea Mwanza kuja Dar, bahati nzuri siti ya Jirani kulikuwa na Msichana mwembamba mrembo...
  2. GENTAMYCINE

    Msichana wa Kazi wa Jirani yangu ana tabia hizi je, atakuwa anasumbuliwa na tatizo gani labda?

    Kitu chochote tu akikisikia ama kiwe hakichekeshi au kweli kinachekesha atatumia muda mrefu 'kuchekacheka' huku 'akirembua' Macho yake. Na hata akienda Kuchota Maji Bombani utaona akijifunua funua Nguo yake ( Dela ) huku akijiangalia Matiti yake na Makalio yake ambayo hata hivyo Mwenyezi Mungu...
  3. E

    Wale wadada 'wanaojisikia' sana vyuoni

    .
  4. Antibiotics

    Natafuta msichana wa kuanzisha nae uchumba

    Hello Guys mimi ni Mwanaume miaka 30,naishi Dar,Am serious natafuta mchumba,Awe mkristu,mrefu wa wastani,maji ya kunde au mweupe asilia,Asiwe na mtoto,Elimu kuanzia form four na kuendelea, Awe au asiwe na kazi kwangu sawa tu,kabila lolote kutoka mkoa wowote,awe mcha Mungu na mwenye hofu ya...
  5. Kyawanjubu

    Nimetembea na msichana wangu wa kazi, mke kajua kimenuka

    Habari zenu ndugu zangu, Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada ya mazishi mimi nikarudi nyumbani, tumekaa siku tatu siku ya nne nikashindwa uvumilivu kama ile...
  6. tang'ana

    Hivi kuna haja ya kuendelea kuwasiliana na msichana uliyemtongoza akakukataa?

    Wakuu habari zenu, Mfano kuna manzi ulikua unamfeel mbaya halafu ukamweleza hisia zako ye akakuchomolea na haoneshi kukupenda kwa namna yoyote ile ingawa we unajipendekeza kumtafuta mara kwa mara. Je kuna haja ya kuendeleza mawasliano na yeye au solution ni kumpotezea tu?
Back
Top Bottom