msimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kuanzia Msimu ujao Ratiba iwe complex Yani iwe kama EPL tu

    Nimewaza sana mjue hizi Team za Kariakoo hua zinapata favor sana katika ratiba ya Ligi, Kuna mda unajiuliza hizi ni Team za Taasisi inayoongoza Mpira Nini? Hizi Team kipindi zinaelekea Derby hua zinapewa almost week nzima ya kujiandaa Yani hawachezi hata kombe la FA angalia Kuna Team zimecheza...
  2. Je una habari pamba jiji fc imewahi kuongoza ligi msimu huu?

    Ndio, ni ligi hiihii ya futbol kwa mwaka 2024/2025. Najua wazee wa ligi watabisha. Lakini ndoivo chukua chuma hicho [kwa sauti ya zomboko].
  3. Fursa za hela Msimu huu wa uchaguzi. Angalia hapa inayokufaa

    Nimewahi shiriki shughuli za kisiasa directly 2015, 2020 kama Msafirishaji, uchaguzi ni mchakato wenye hela sana. Nimeiuliza CHATGPT namna gani unaweza tengeneza kipindi cha uchaguzi huu wa 2025. Pitia kama kuna namna itakufaa. Ni kweli kwamba mwaka wa uchaguzi huleta fursa nyingi za...
  4. Kabla Simba hajapigwa Zile 5 Kulikua na Trend ya Yanga Kufunga goli 5 kwenye Michezo ya Nyuma yake Msimu huo ni kama Msimu huu tu.

    Mashabiki wa Simba Mashabiki Simba nawaita Tena Simba jiandaen kalieni kusema Yanga ananunua match ila mnajisahau kwenye hili. Muulizeni Mganga wenu hili kama analifanyia kazi? Nenden mkajikumbushe games 5 za nyuma za Yanga kabla hajaja kuwapiga Zile 5 alikua anashinda Kwa goli ngapi ngapi...
  5. Ni wakati wa kuiweka Manchester United kwenye maombi isishuke daraja msimu huu!

    Man U hivi sasa sio tena Mashetani bali ni vibonde wa EPL Goodison Park nyumbani kwa Everton tayari wamekalia chumba 2 na ni Half Time
  6. Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
  7. EPL: Golikipa wa Man City, Ederson afikisha assist ya tatu ya msimu katika ligi hiyo sawa na Odegaard wa Arsenal

    Golikipa wa Man City, Ederson jana alitoa assist kwa Omar Marmoush wakati Man City ikiiua Newcastle Goli 4-0 katika EPL. Assit hiyo ya Ederson inakuwa ni assist ya 3 kwa msimu huu katika EPL huku akilingana na baadhi ya wachezaji wanaocheza ndani. Kipa Ederson, analinganaa na kiungo hatari na...
  8. M

    Wataalamu wa 'Vijiti' ndio watakaoipa ubingwa Simba au Yanga msimu huu, hakuna tena ufundi uwanjani

    Sasa hivi kinachoendelea katika ligi yetu sio kitu cha kawaida, sio tena uwezo wa kocha wala wachezaji, ndio maana unaona kocha anafukuzwa leo na kesho timu inapata matokeo kama kawaida, kocha wala sio ishu hapa bongo, ishu iko kwa wataalamu wetu wanaojua kuchomeka vijiti kwenye mageti, golini...
  9. Hauhitaji kuwa 'genius' kujua Simba ni bingwa msimu wa 2024-25

    Kuna watu wanashupaza shingo zao hadi zinakaribia kukatika na wengine wanajipa matumaini hewa kuwa labla katimu kao ambako kanaenda kama gari bovu kanaweza kuchukua ubingwa wowote msimu huu. Huku ni kujipa magonjwa ya moyo na sonona bila sababu ya msingi. Niwatoe matumaini wale wote wenye...
  10. Hii trade ya Doncic na AD tutegemee nini NBA League msimu huu

    Duuh hii trade kama masihara vile ila ndio hivo, Luka Doncic kaja Lakers na AD kaenda Mavs. Msimu huu patachangamka sana. RRONDO
  11. Klabu za Premier League zilivyofanya Usajili Msimu wa 2024/25

    Revealed: Premier League transfer spend table - with surprise club beating Man United, City and Chelsea to top with £231.4m splashed out... and which giants are BOTTOM with just £34.7m spent? Premier League clubs spent in excess of £2billion across the two transfer windows of the 2024-25...
  12. Arsenal 5-1 Manchester City

    Goli lililofungwa na Martin Ødegaard dakika ya 2 lilikuwa na baraka ya kuifanya Arsenal kushusha mvua ya Magoli 5-1 dhidi ya Manchester City katika Ligi Kuu ya England "Premier League" kwenye Uwanja wa Emirates Magoli mengine yamewekwa wavuni na Thomas Partey, Lewis Skelly, Kai Havertz na Ethan...
  13. Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

    Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya CAF. Msimu uliopita Simba ilishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya Tanzania nyuma ya Yanga na Azam. Jee Simba inahujumiwa kwenye Ligi au kimataifa huwa inabahatisha tu?
  14. Arsenal ni bingwa wa UEFA msimu huu

    Najua Kuna vitimu vidogo vinahangaika kutaka kubeba UEFA ila napenda kuwatangazia kwamba Ile timu ya makombe inaenda kulinyakua hili kombe mwaka huu na timu hiyo ni arsenal the gunner watoto wa mjini
  15. Maajabu ya Simba na Yanga kimataifa msimu huu

    Leo sitawananga ndugu zangu wa uto ila nakuja na mada fikirishi ila siyo serious kihiiivyo kwa hiyo wale ambao tunarushiana maneno kila siku embu leo nipumzisheni. Msimu huu kuna mambo kadhaa yanafanana kati ya Simba na Yanga katika mechi za kimataifa: 1. Simba na Yanga zote zilicheza ugenini...
  16. Kikosi changu cha kwanza, round ya kwanza msimu huu

    1. Mousa Kamala(Simba) 2.Yao Kouassi Attohoula (Yanga) 3. Paschal Msindo(Azam) 4. Abdulazak Hamza(Simba) 5 Ibrahim Bacca (Yanga) 6. Nelson Munganga (Tabora United) 7. Pacome Zouzou (Yanga) 8. Marouf Tchakei(Singida BS) 9. Elvis Rupia(Singida BS) 10. Feisal Salum (Azam) 11. Max Nzengeli (Yanga)...
  17. Msimu huu Manchester united inaenda kushuka daraja

    Nimeangalia mwenendo wa hii timu msimu huu kwa jinsi inavyocheza jana ilipokea kichapo Cha Gori 2 bila kutoka Kwa new castle ikiwa nyumbani kwake old Trafford uwanja unaovuja na kufuga panya nimethibitisha Sasa hivi hii timu imebaki na mashabiki wazee ambao waliishuhudia ikibeba makombe Kwa...
  18. Kombe la FA msimu huu halipo?

    Wakati tumeingia duru la pili la msimu wa NBC mpaka sasa sijasikia mechi zozote zikipangwa au kuchezwa za FA Cup. Ni kwamba msimu huu kombe halipo au kuna changamoto? Kama wana uhaba wa pesa au CRDB wanazingua waniambie tajiri niongeze mzigo. Msimu huu Simba hatutaki kuacha kitu mezani...
  19. N

    *Magonjwa Yasiyoambukiza (NCDs) na Msimu wa Sikukuu*

    Magonjwa Yasiyoambukiza (NCDs) na Msimu wa Sikukuu Vidokezo vya Ulaji Bora. Utangulizi Tunaelewa kuwa msimu wa sikukuu unaweza kuwa changamoto kwa wale wanaoshughulikia magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama vile kisukari, magonjwa ya moyo, au shinikizo la damu. Vyakula vya sherehe mara nyingi...
  20. M

    Kibu Dennis amebadilika sana, hawezi kuendelea kucheza Simba msimu ujao

    Simba sasa hiv inabebwa sana na Kibu Dennis, huyu mwanaume amefika hapa kwa sababu ya zomea zomea yetu mashabiki wa Simba kwake, alikuwa akifanya makosa mengi sana kiasi kwamba tulidhani hastahili kuchezea Simba, nayakumbuka sana maneno ya Mzee Magori alipomzungumzia mchezaji huyo wakati...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…