WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA USIKU MIRADI YA BRT, AAGIZA IKAMILIKE KABLA YA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA.
Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 28, Disemba 2024 yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa...
Mikoa iliyoongoza kwa matumizi ya mbolea katika msimu 2023/2024;
1. Ruvuma ulitumia tani 100,000,
2. Njombe tani 75,358,
3. Mbeya tani 75,252,
4. Songwe tani 71,230
5. Iringa tani 44,214.
Maandalizi ya kuufanya mwezi January kuwa mwezi dume, yanafanyika msimu huu wa sikukuu. Watu wanaponda mali kana kwamba wanakufa kesho ama wameagana kabisa na shida za dunia.
January inapofika inawakuta watu hao wako hoi bin taabani kiuchumi. Wataanza kuhaha kuuza hata kile kidogo...
Fungulia tu hizo redio zao usikie habari za makongamano na ibada za kubariki,kukomboa, kutakasa n.k mwaka mpya ujao. Ukiwa mpumbavu fulani unajipeleka halafu unaambiwa toa sadaka au panda mbegu kwa ajili ya mwaka mpya uwe wa mafanikio. Pesa zile zinaingia mfukoni kwa mhubiri. Hivi watanzania...
Mamlaka za Magereza zimesema kama sehemu ya hatua za kuzuia “uwezekano wa uvunjifu wa usalama”, wafungwa/ mahabusu hawataruhusiwa kupokea wageni kwa siku 7, kuanzia usiku wa Krismasi
Msemaji wa Huduma za Magereza Uganda, Frank Baine Mayanja, amesema “Krismasi inaleta furaha na wafungwa wengi...
Huu ndio uhalisia wa wanaume wengi wapumbavu kwenye mahusiano na girlfriends au wapenzi wao
Kwenye birthday ya mwanamke mwanaume mpumbavu ndiye humgharamia atamnunulia wig au salon n.k. Kwenye birthday yake malaya hamnunulii zawadi yoyote. Anaishia tu kumuwish bday then she only opens legs for...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Karibuni
Jim reeves:
•Seno Santa Claus
•Jingle bells
•Silent night
•Mary's boy child
SILVER BELLS:
"City sidewalks, busy sidewalks
Dressed in holiday style
In the air
There's a feeling
Of Christmas
Children laughing
People passing
Meeting...
Klabu ya Coastal Union imethibitisha kuvunja mkataba na aliyekuwa mlinda mlango wao, Ley Ngumbi Matamp ambaye alikuwa golikipa bora wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu uliopita kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Taarifa ya leo Desemba 10, 2024 ya leo kupitia ukurasa rasmi wa klabu...
Hivi karibuni, Msimu wa Kutangaza Tamthilia na Filamu za Beijing Afrika ulianza jijini Dar es Salaam, Tanzania. Tukio hilo lililoandaliwa na Ofisi ya Redio na Televisheni ya Mji wa Beijing, lilifungua ukurasa mpya wa mawasiliano ya kitamaduni kati ya China na Afrika, na kukuza uhusiano wa kina...
Napenda kuwasilisha malalamiko kutoka kwa watumiaji wa barabara ya Kigamboni/Ferry - Cheka kuhusu hali mbaya ya barabara hii, hususan vipande kadhaa ambavyo lami imekwanguliwa kwa lengo la kufanyiwa marekebisho lakini hadi sasa kazi hiyo haijakamilika.
Tunaelekea katika msimu wa mvua za masika...
Hii inawahusu wale waliokuwa washabiki wa Mnyama ambao walihamia Tu-mbili Sports Club aka Utopolo, na sababu kuu waliotoa NI kuwa wanafuata furaha kwenye Timu isiyofungwa. Wengine walitukejeli adi Kwa nyimbo eti' Yanga tamu!' na pia eti wakaenda mbali Kwa kusema eti ' maisha yamchanganye na...
Msimu wa Kupanda Miche ya Matunda Umefika!
Farm Side Company Ltd, tunakuletea miche bora ya matunda kwa muda mfupi! Tunatoa:
✅ Embe (Tommy Artikin, Kent, Red Indian, Apple Mango, Dodo, Alphonso, Boribo Keith, na Palma)
✅ Parachichi
✅ Chungwa, Ndimu, Limao, na Chenza
✅ Papai, Komamanga, Pasheni...
Jf nimejifunza na kujua mengi. Kwa hili nililoliona nimependa pia kushiriki pamoja nanyi.
Katika pitapita zangu za utafutaji kuna mahala nimekuta kilimo cha mahindi na maharagwe kinakubali haswa na hakijulikani kihivo. Kwa atakae hitaji kujuzwa anipm nimpe maelezo ajipambanie. Nitakupa location...
Sababu ni moja tu nayo ni👇👇👇
Kwa sababu huu ni msimu wa Mananasi.
Katika ulimwengu wa roho, kunapokuwa na msimu wa kitu fulani, tafsiri yake ni kwamba muda huo ndio muda sahihi wa kufanya kitu hicho.
Mifano kupanda mazao msimu wa mvua zinapo anza.
Sasa hivi ni msimu wa Mananasi, tafsiri yake...
Kwa wakulima wenzangu msimu wa maembe umewadia changamoto kwa sasa ni soko linapatikanaje.
Kwa yoyote mwenye kujua soko la uhakika tafadhari naomba tujulishane au kama unahitaji embe kwa bei ya jumla utazifata shambani Kibaha.
Nitafute kwa wasap 0746590147 tufanye biashara
Katika kipindi hiki Cha msimu wa matunda ya maembe, ninakukumbusha kutumia kikamilifu ili yaendelee kuboresha afya yako.
Katakata(chop) Kisha weka kwenye kikombe Cha chai. Halisababishi kupanda kwa sukari sababu ya nyuzinyuzi zake( Low glycemic index) pia kiwango kidogo Cha nishati( Less than...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza chanzo cha ndani kinasema baada ya Gamondi ametaka watu kumfanya kichaka cha kujifichia ilibidi ang'ake na kuwa mkali na kila mmoja afanye kazi yake kwa matokeo yeye asilimia mia atayafanyia kazi.
Ameng'aka kuna wachezaji uongozi unachangia unawafanya kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.