Miaka ya themanini baada ya vita vya Kagera mikoa ya kanda ya ziwa ilishuhudia wimbi kubwa la uvamizi wa kutumia siraha.
Nilikuwa najitambua japokuwa nilikuwa mdogo kiumri. Mtaa na kijiji nilichoishi alikuwepo mzee mmoja alikuwa na uwezo kidogo na kila mtu alitambua kuwa alikuwa akimiliki...
Mbunge wa Makete, Festo Sanga amesema siku za hivi karibuni kumekuwa na changamoto ya wimbi la ujambazi hususan Mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza na Arusha.
Akiwa Bungeni, amesema matukio hayo yamekuwa yakihatarisha usalama wa Wafanyabiashara, wananchi kwa ujumla pamoja na mali...
Habari wadau!
Kiukweli serikali imekuwa ikiwapa sana kipaumbele walimu katika kuajiri pasipo kuangalia upungufu kwenye kada nyingine ambazo nazo zina umuhimu. Serikali ijitahidi kuajiri na kada nyingine kupunguza tatizo la ajira.
Ngoja niende kwenye maada kuu kiukweli nchi haina upungufu tu...
Kijana huyu mwenye amri mdogo ana akili iliyotulia kinoma, miaka ya hivi karibuni alifanya kazi katika Shirika la Twaweza akiwa kama Assistant data analyst alibahatika mwaka jana Mwanzoni kupata ajira nyingine huko ughaibuni - barani ulaya katika shirika kubwa la masuala ya utafiti ambapo...
Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri
Dar es Salaam. Wataalamu wa afya nchini Tanzania wamesema nywele sehemu za siri hazitakiwi kuondolewa kutokana na umuhimu wake hasa kuzuia bakteria na wadudu mbalimbali kuingia mwilini.
Wamesema kulingana na tafiti mbalimbali zilizowahi...
Mtanzania wa kwanza binti mwenye umri wa miaka 20, Rawan Dakik na pia mdogo kabisa Barani Afrika kupanda mlima mrefu zaidi duniani amefanikiwa kumaliza mzunguko wake wa pili wa mita 7,200 juu ya usawa wa bahari bila oksijeni ya nyongeza
Rawan atapumzika kwa siku tano katika kambi ya mlima...
Habari,
Nimekuwa nikitoa tahadhari ya kuja kuwa na mtafaruku ndani ya nchi na ikiwezekana vita vya ndani. Kwa sasa kumetamalaki kwa uvunjivu wa katiba yet hasahasa kwa viongozi wetu wa juu pamoja na wakuu wa nchi akiwemo SPIKA wa bunge na hata RAISI mwenyewe. Hao viongozi wengine ndo hawasemeki...
MTANZANIA AIBUKA KWENYE VIDEO INAYOTREND DUNIANI
Kuna Video inayotrend kwa sasa Duniani
Inayowaonyesha Vijana watatu waliovalia Taulo nyeupe Wakivuka barabara huku walicheza huko Washington DC, Marekani.
Moja ya Vijana hao imeripotiwa kuwa ni MTANZANIA, ambaye ni wamwisho kwa Vijana...
VISA FREE DESTINATIONS FOR A TANZANIAN
5 February 2016
Sakina Shabbir Manji
Most countries require a Visa with your Tanzanian passport in order to enter. However there are some visa free countries that will allow you to enter their premises without a visa or will provide you with one as soon as...
Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali.
Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540...
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au...
Wakati Waziri Mkuu akiahirisha Bunge baada ya hotuba ya Waziri Mkuu, Spika Ndugai ameongelea suala la uaminifu wa watanzania hasa kwa vijana na kudai wawekezaji wengi wamekuwa wakilalamika. Ndugai amesema mtu anaeanzisha mradi atajikuta tu amefilisika asipokuwa makini.
'' Mtu akianzisha labda...
Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia Tsh. 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja...
Nimemsikia Spika wetu akibeza baadhi ya viongozi wa Upinzani na wengineo kuwa hawakufanya lolote wakiwa wabunge akiwemo Mh. Mbowe na wengine. Ati Hai sasa ndo imepata Mbunge wa kuisemea!
Nimejiuliza mengi kama Mtanzania kuwa tunataka kujenga nchi ya aina gani? Tutaendelea kuudanganya Ulimwengu...
Wakuu turejee,
Tunajua kua Watanzania ni watu wapenda amani na ni watu wenye roho nzuri wa kutokupenda makuu.
Hata uhuru wetu tulipata kwa njia ya amani. Hatuna historia ya kua wakorofi. Tanzanians behaviour as a culture is totally all about humble and peace.
Tofauti na nchi jirani ambapo...
KOMREDI JOHN MAGUFULI, NDIYE SAMPULI YA MTANZANIA MWENYE MAADILI MEMA
Leo 15:15pm,15/09/2019.
Komredi Rais John Magufuli ndiye muungwana na mstaarabu anayefuata mambo mema yaliyokubaliwa katika jamii, naamini ndiye Kiongozi mwenye kuita koleo ni koleo na kijiko ni kijiko, ndiye mwenye...
====
(CNN) — Tanzania rarely features in discussions of Africa's soccer hotspots. But that perception might be changing thanks to the skills of soccer freestyle queen Hadhara Charles, which are winning plaudits from celebrities across the world including US President Donald Trump.
A viral...
Hongera sana Ms Joyce Msuya kwa nafasi hiyo ya Deputy Executive Director of UN Environment.
Naona Watanzania sasa wanakamata nafasi za kimataifa tena wakina mama hongereni sana.
======
New York, 21 May 2018 – United Nations Secretary-General António Guterres today announced the appointment of...
Chiku Mkalu Ali: 'Mtanzania' Diwani Jimbo la Berjen Norway
*Alikwenda kwa shughuli za sanaa, hakurudi akaolewa huko huko
*Bado anaenzi nyumbani, amejenga shule ya msingi kwao Singida
Na Rashid kejo
Mwananchi
MARA baada ya Richa Adhia kutangazwa kuwa Mrembo wa Tanzania mwaka huu, mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.