JE MAMBO YAKO HAYAENDI? TEGUA MTEGO!
Anaandika, Robert Heriel
Yule Shahidi!
Mambo haya ni bure, wala sitakuchukulia chochote Kama faida. Nimeyaandika haya kama kumbukumbu Kwa hao watakaona yatawafaa, tena isihesabike maneno haya ni kifungo kwa yeyote bali yawe ufunguo Kwa hao waliofungwa...