mti

MTI Consulting is an international management consultancy with operations in Middle-East, Americas, Europe, Asia and Far-East. MTI Consulting was founded in 1997 with its headquarters in Bahrain. MTI Consulting has worked on 650 client-specific projects in 43 countries across 5 continents.
This includes assignments on Strategic Planning, Re-Structuring, Process Re-Engineering, Marketing (covers Branding, Channels, Sales,Service), International Market Entry, market intelligence, Human Resources Management and Web / Technology Optimization.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Ujue 'Ghost Tree', mti unaowaka kama taa usiku

    Ghost Tree sterculia urens ni mti wa asili unaopatikana kwenye Tropical Rainforest, kwa Tanzania miti hii huonekana sana kwenye misitu ya Tao la Mashariki, inayoanzia milima ya Kipengere hadi Mlima Kilimanjaro. Mti huu wa ajabu ambao hamna aina ya nyani anaweza kuupanda huwa ni mrefu na...
  2. Nani anajua historia ya nini chanzo cha kuwepo kwa mti wa Xmas?

    Wakati tukielekea kwenye sherehe kubwa inayoadhimishwa na waumini wa dini ya kikiristo ulimwenguni kote Christmas. Nimekuwa nikiona watu wanapamba nyumba zao na mti almaarufu Christmas tree. Naomba kujuzwa historia ya matumizi ya xmass tree, kuna uhusiano gani wa tukio lenyewe na mti huo.
  3. Unafahamu mti aina ya Pachira Aquatica/money tree?

    Katika mizunguko yangu nimekutana na mti unaozaa matunda amabao ndani yake ni kama karanga, katika kudodosa mtandaoni nikagundua unaitwa PACHIRA AQUATICA. Mti huu hufahamika zaidi kama mti unaoleta bahati au money tree. Wenyeji huita karanga pori, nimeona wengine wakichanganya na kuuita...
  4. Kwanini naupenda mti huu

    Kwanini naupenda mti huu. Kuna historia kubwa sana ya mazingira niliyoishi kwenye udogo wangu . Miti mingi ilikua ni hii , wenyewe tuliita mi Krismas Kuchanua kwake kuliashiria holiday-sikukuu imekaribia , Na shule inakaribia kufungwa , Vilevile Krismas haikua mbali hivyo nguo , viatu vipya...
  5. Mnazi na wenye mafaniko

    MNAZI NA WATU WENYE MAFANIKIO Na, Robert Heriel Maandishi ya Robert Heriel kwa Lugha ya Kiswahili. Haki zote zimehifadhiwa. Leo tutaangazia habari ya Mti wa Mnazi na namna ulivyo na ufanano na watu wenye mafanikio. Bila shaka baada ya andiko hili tutakuwa tumejifunza mambo fulani yenye...
  6. Video: Kifaru cha Urusi chadondosha wanajeshi na kugonga mti kwenye harakati za kuikimbia Ukraine

    Hadi aibu na huruma, wanajeshi walioparamia kwenye kifaru wadondoka kama gunia kisha kikaishia kugonga mti, jameni Putin aliingiza nchi yake kwenye aibu gani hii, Warusi nyumbani wanapotazama video kama hizi wanahisi vipi labda..... The video, which was posted on the Calibre Obscura Twitter...
  7. Msaada miche ya mti wa Mahogany au Mkangazi

    Habari wana jukwaaa hili. Ninaomba yeyote anayefahamu ninapoweza kupata miche ya Mahogany au Mkangazi. Natanguliza shukrani.
  8. Je, mzizi mmoja unaweza kustawisha mti?

  9. L

    Msanii wa kabila la Oroqen atengeneza sanaa kwa kutumia gamba la mti wa mbetula

    Msanii wa kabila la Oroqen Bw. Guo Baolin kutoka mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China, ni mrithi wa usanii wa utengenezaji wa sanaa za gamba la mti wa mbetula, ambao ni urithi wa utamaduni usioshikika nchini China. Mke na binti yake pia wanamfuata na kufanya tarizi murua za jadi...
  10. Kenya: Apigiliwa misumari kwenye mti kama Yesu kwa tuhuma za kuiba redio

    Collins Sambaya mkazi wa Kaunti ya Vihiga amepata kadhia ya kupigiliwa misumari na kuwekwa kwenye mti kwa tuhuma za kuiba redio. Kijana huyo anaendelea na matibabu Waliofanya tukio hilo ni Eric Irime na mdogo wake ambao awali walimpeleka mtuhumiwa wao polisi na aliachiwa kwa kukosekana...
  11. Silinde: Kila mwanafunzi apande mti mmoja, zoezi liwe endelevu

    Wakuu wa mikoa na wilaya wametakiwa kusimamia kila mwanafunzi kupanda mti mmoja kila mwaka katika shule za msingi na sekondari ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi yanayoathiri sekta ya elimu ikiwemo kusababisha udumavu kwa watoto shuleni. Pia, maofisa elimu wa mikoa na...
  12. Nilivyonusurika kifo juu ya mti

    Tukio lililonitokea nikiwa darasa la tatu. Ikiwa muda wa masomo umemalizika, nikiwa na wanafunzi wenzangu, tunapita jirani na mti wa mzambarao. Mti ule ulikuwa umesheheni zambarao zilizoiva na nono zaidi, wale waliyopitia maisha haya nadhani wananielewa vizuri. Mti huo ulikuwa mrefu mithili ya...
  13. Starehe ya chura ni kujizungusha vizuri kwenye mti wake

    Starehe ya mwanaume ni kuwa na mwanamke anayeweza kuzungusha kichongeo chake kwenye penseli ili ichongeke vizuri. Hivi vichongeo vikubwa (chura) huwa havichongi vizuri penseli, badala ya kujizungusha vizuri ili penseli ichongeke vizuri, inakuwa ni tofauti; penseli inakuwa haina makali na haitoi...
  14. D

    Tazama vile viumbe tunavyotumia mbao kwa wingi! Lakini kuna mtu humu hajawahi hata kufikilia kupanda mti hata mmoja

    Binadam tunalalia vitanda asilimia kubwa ni mbao! Ebu waza idadi ya kaya mtaani kwako halafu uzidishe kwa taifa zima utagundua ni miti mingi imepotea kutengenezea hivyo vitanda! Waza idadi ya majumba, kila nyumba ina milango ya mbao, kenchi za mbao, madilisha ya mbao na makabati ya mbao hakika...
  15. Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

    Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na...
  16. Msaada wa dawa ya kutibu ukaukaji wa matunda kwenye mti

    Naomba msaada wa kujua ni dawa gani nitumie kwa ajili ya kutibu tatizo sugu ambalo linakumba miti yangu aina ya mipera, kila ikiweka mazao, mapera yote yanakauka baada ya kufikia hatua flani. Naambatanisha picha kwa ufafanuzi zaidi
  17. Muotesha mti si lazima afaidi kivuli na matunda yeye mwenyewe

    Lengo ni kuakisi Suala zima la mendeleo ya nchi yetu/wazawa. Kelele nyingi zinapigwa kua nchi haiendelei Kama zilizotangulia. Maisha magumu mtaani. Ukweli ni kwamba Watanzania tunataka MAENDELEO lakini tunaogopa MABADILIKO. (Fact) Maana halisi ya heading yangu ni kwamba: Kuifanya nchi...
  18. Msaada jinsi ya kutumia unga wa mti wa mvunge

    Doctors, naombeni msaada jamani wa dhakari ndogo kwa kutumia dawa za asili na miti shamba. πŸ™ Au kama kuna yeyote mwenye kujua dawa naomba msaada. πŸ™πŸ™πŸ™
  19. Mkuyu ni Mti gani?

    Hapa ni makumbusho ya Taifa, kuna mti mkubwa sana mimi naufahamu kama BODHI TREE, ni mti ambao BUDDHA alipatia UFUNUO akajitambua, hata hivyo wafanyakazi pale makumbusho wameandika kwamba ule mti unaitwa MKUYU. Mkuyu ni mti aliokwea ZAKAYO ili amuone YESU. Binafsi sifahamu mkuyu ukoje ila...
  20. Musoma-Mara, watoto 40 wanasomea chini ya mti, wazazi waamua kujenga madarasa

    Watoto 40 wa darasa la awali, katika Shule ya Msingi Buraga Mwaloni, Kata ya Bukuma, Musoma Vijijini mkoani Mara, wanasomea chini ya miti, hali iliyowalazimu wazazi kujenga madarasa kwa ajili ya watoto wao. Chanzo: Nipashe __________________________________________________________ Naomba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…