MTI Consulting is an international management consultancy with operations in Middle-East, Americas, Europe, Asia and Far-East. MTI Consulting was founded in 1997 with its headquarters in Bahrain. MTI Consulting has worked on 650 client-specific projects in 43 countries across 5 continents.
This includes assignments on Strategic Planning, Re-Structuring, Process Re-Engineering, Marketing (covers Branding, Channels, Sales,Service), International Market Entry, market intelligence, Human Resources Management and Web / Technology Optimization.
Tuna mtoto wa mama mdogo Ana tatizo la mifupa yake na mwili wake upo dhaifu tumejaribu kuuliza tukaambiwa tujaribu kuuliza kuhusu mti mvunge ni tiba nzuri. jamani naomba kwa mwenye kujua jinsi ya kutumia mti huo na jinsi ya kuupata mti huo tunaomba msaada.🙏🙏🙏
Nimesikiliza kwa umakini sana juu ya mambo aliyoyasema mchungaji Gwajima. Nina maswali machache sana juu ya nadharia yake juu ya korona na namna alivyosema na kuaminisha watu:
1. Yeye ni mtumishi wa Mungu na anaamini Mungu ni alfa na omega na hashindwi na chochote, sasa kama ni hivyo kwanini...
Jina lingine ni iroko. Ni mti wenye mbao imara ambazo pia hard wood. Unapatikana Afrika kwenye misitu ya mwambao wa bahari kutoka Benin mpaka Angola, Msumbiji Lamu Madagascar.
Inasadikika miti hii inafuga mashetani, kule Benini sadaka hutolewa chini ya mti huu hasa kwa wenye matatizo ya...
Nijuavyo kwa sasa Mbowe amebakia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA tu hana vyeo vingine nje ya chama chake.
Kama ni kupoteza ubunge hata mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amepoteza, boss wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amepoteza sasa kwanini kwa Mbowe inakuwa nongwa?
Yohana nauliza kwanini Freeman...
Mhe. Rais naona ameumaliza mzizi wa fitina leo katika mazishi ya Balozi Kijazi na kusema kuwa magonjwa yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo, na sisi si pekee ndiyo tunaotaabika na matatizo haya ya magonjwa ya milipuko hata nchi zingine wamekufa wengi sana. Na tatizo linapokuwa kubwa kuzidi...
Mapenzi ni hasara tupu...
Za mida...
Nimekua niko namawazo sana hii siku sijui labda ni kwa sababu sijaona sms ya nimpendae ikiji display.....
But namaswali machache...
Ivi kwa nini wanaume wengi huwa tuko tiari kuwa spare tier sana
Nikimaanisha kuwa vijana wengi tuko tiyari kuwa na mke wa...
Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
Unaweza kumsikiliza dogo...
Ndugu zangu, Wife bana kajifungua kama mwezi hivi, tunashukuru sana kwa Mungu mtoto wa 2 sasa. Safari hii tofauti na mwanzo kajifungulia hapa hapa na tukiwa tushaamia mjengoni nje ya jiji hukoo sijui.
Kama ilivyo kawaida japo tuna Dada wa kazi lazima tupate mtu wakukaa na Mzazi hapo ndo...
Mti huu sio mgeni kwa tiba kwa baadhi ya nchi za Africa, siku za nyuma pia ulikuwa ukitumika kutibu malaria na maradhi mengine madogo madogo, Madascar wameendelea kugawa bure na kuhamasisha wananchi kutumia dawa hiyo
Sio mti kama mti unaotibu covid 19 bali wenyewe wanachanganya na baadhi ya...
Jana wakati napitia Uzi mmoja kuhusu yiba za asili,nikambuka marehemu Bibi yangu.
Utotoni Bibi alionionesha mti fulani ambao ukisikia kikohozi unakata kipande unakipitisha kwenye Moto unatafuna na kumeza maji yake. Ukifanya hivi Mara tatu kwa siku kikohozi kinakata. Nakumbuka nilikuwa...
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.
Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!
Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?
Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye...
Habari za wakati huu?
Kuna mambo mengi sana ambayo mtu anaweza kuyafanya katika maisha yake hapa duniani, lakini hata kama utayafanya yote ila usipofanya jambo moja tu basi hakuna umuhimu wa wewe kuwepo duniani.
JAMBO LA MUHIMU KULIKO LOTE NI KUHAKIKISHA KWAMBA KATIKA MAISHA YAKO HAPA DUNIANI...
Mti wa Krismasi wa JKIA ulikuwa kituko kwa Wakenya mtandaoni umebadilishwa masaa kadhaa baada ya kuwafanya wakenya kudhihakiwa.
Wafanyikazi wa uwanja wa ndege walionekana wakiweka pamoja mti mpya wa Krismasi wa JKIA Jumatano usiku.
Hata hivyo hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Mamlaka ya...
Mambo ya kuthubutu haya sometimes noma sana!! Yaani nimejifunza humu humu JF jinsi ya kupika Chapati.
Sasa leo si wageni wakawa wengi hapa home yaani wageni wa kike, nikaona
hapa ndo pa kuchukua ujiko.
Mwanaume nikafuata hatua zote tena kwa kusoma, nikapika kama chapati nnehivi!!! Kila...
Huu mti ni aina ya Cactus kama sikosei, tangu ulipopandwa mwaka 1999 sikuwahi kuuona ukitoa maua, hadi leo ndio nimeona maua yake. Tunatakiwa kuuondoa ili kupisha ujenzi, kuna mtu anautaka nimuuzie?
Habari,
Naomba kuuliza kuhusu erolink kama bado wanamkataba na Voda na pia ofisi zao kwa sasa zipo wapi. Pia, naomba mnisaidie kujua ofisi za Tigo,Voda na Airtel wanapopokea CV.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.