mtoni

Mtoni, Dar Es Salaam is an administrative ward in the Temeke district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 47,952.

View More On Wikipedia.org
  1. Extrovert

    House4Sale Nyumba zinauzwa Mtoni kwa Azizi Ally

    Nyumba ziko 2 mkabala kabisa na barabara kuu ya kuelekea mbagala lami na ya zege ya mwendokasi. Bei ni TZS 280M. Kwa mawasiliano nicheki 0773411415.
  2. beth

    Watatu wafariki baada ya kutumbukia mtoni Tarime

    Watu watatu wamefariki dunia wilayani Tarime mkoani Mara kufuatia daraja la mto Msati uliopo katika barabara kuu ya Sirari - Mwanza kuvunjika na kisha kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani hapa. Akizungumza kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum...
  3. Pdidy

    Wezi na wavuta bangi wamekithiri Kawe Mtoni, tunaomba Polisi mtusaidie

    Niliwahi andika miezi kadhaa, .... Nirudi kwa mkuu wa kituo Kawe, ndugu yangu naomba niwajulishe kuna wizi unatokea Kawe Mtoni na maeneo ya bar za Soweto mpaka kanisa la Victory. Kila siku wamama wanaporwa wanabakwa majuzi tumekuta nguo za ndani njian.... Vigenge vya wahuni mnavijua kule Mtoni...
  4. Mad Max

    Mtoni Raha Sana Dah

    Najaribu kuwanza ingekua Africa..
  5. 2019

    Uchaguzi 2020 Mbezi beach Vs Mtoni Kijichi | Chagua CCM upate maendeleo chagua upinzani uendelee kusota

    Hii kila mtu kichwani mwake kila mmoja na maamuzi yake kwenye box MBEZI BEACH Ila ni kwamba Mbezi beach,Tegeta maeneo ya Kawe yalionekana ya hadhi sana ukiangalia mpangilio na geografia ya maeneo hayo yamepangwa vizuri na hata ujenzi wa nyumba zake kidogo ni za hadhi ya juu. Katika pita pita...
Back
Top Bottom