mtoto mchanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pascal Mayalla

    Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

    Leo Ijumaa ya Tarehe 8 April, ni siku yangu ya kuzaliwa, nikiwa nimeipiga mingi nikikaribia 60! ambao ndio umri rasmi wa kustaafu, nikiwa tayari ni father of 8 +1= 9, Grand Pa of 6, and about to retire!. Sababu ya makala hii ya leo sio kusherehekea siku yangu ya kuzaliwa, bali kutoa mbinu za...
  2. Nyendo

    Mufindi: Mtoto wa siku moja aokotwa akiwa amefariki

    Mtoto Mchanga wa siku moja amekutwa amefariki katika Mtaa wa amani, Kinyanambo Kata ya Upendo Halmashauri ya Mji Mafinga baada ya wanamke mmoja asiyefahamika kujifungua kisha kumtupa. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Afisa Mtendaji wa Mtaa huo, Majolino Myinga amesema kuwa alipigiwa simu na...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Video: Mtoto mdogo akutwa ametupwa chooni

    Ailiyekatupa chooni haka ka baby Mungu amuangaze na amuaibishe! Sijui hata nisemeje aaaagh Mungu wewe mwenyewe ndio tegemeo letu utakatunza katoto kwa njia zako mwenyewe. Amen.
  4. mama D

    Tunaposhangilia sheria ya kumrejesha binti aliyezaa shuleni, tusisahau kuuliza haki ya yule mtoto mchanga aliyezaliwa anayebaki nyumbani

    Ni jambo jema tunapofanya kampeni ya kwamba watoto wetu waliopata mimba wakiwa mashuleni wakakatisha masomo warudi mashuleni kuendelea na masomo Lakini ni muhimu zaidi kujiuliza vichanga vilivyozaliwa vitabaki wapi? Na nani atakua akiwalea? Tukiachilia mbali zile familia chanche zenye uwezo wa...
  5. Tunguja

    Mtazamo binafsi: Mtoto mchanga akiwa analialia mara kwa mara, ni kipimo cha DNA

    Ukiona mtoto mchanga analialia hovyo bila sababu yoyote ujue huyo anayeitwa baba yake ni feki. Nilishawahi kuambiwa miaka kadhaa iliyopita sikuamini, lakini leo hii nimeamini kuna watoto wanne ninaofahamu ambao walikuwa wanalia sana halafu baadaye ikaja kugundulika walichakachuliwa. Kwahiyo...
  6. F

    Mtoto kufa baada ya saa 3 toka kuzaliwa

    Habari wakuu Kuna binti kajifungua salama kwa njia ya kawaida leo saa 10 alfajiri akaruhusiwa kurudi nyumbani punde tu baada ya kujifungua. Aliporudi nyumbani akapumzika kwa kulala yeye na mtoto kwa uchovu wa uzazi. Saa 1 asubuhi akaamka na alipojaribu kumuamsha mtoto alikuta ameshafariki...
Back
Top Bottom