Mtoto Mchanga wa siku moja amekutwa amefariki katika Mtaa wa amani, Kinyanambo Kata ya Upendo Halmashauri ya Mji Mafinga baada ya wanamke mmoja asiyefahamika kujifungua kisha kumtupa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Afisa Mtendaji wa Mtaa huo, Majolino Myinga amesema kuwa alipigiwa simu na...