mtuhumiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Mbowe: Mtuhumiwa ugaidi aliye shujaa kwa wengine

    Dunia ya Mungu ina mengi. Ndiyo maana waungwana walisema ukiyastaajabu ya Mussa jiandae kuyaona ya Firauni. Inasemekana Freeman Aikaeli Mbowe alikuwa mtoto wa ubatizo kwa hayati baba wa taifa ambaye ndiye aliyempa jina Freeman, akimhusisha na siku aliyobatizwa: Kwamba pia Makongoro Nyerere...
  2. Shujaa Mwendazake

    ZPC Muliro: Mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa mtuhumiwa wa ujambazi akiwa na silaha atazawadiwe Shilingi 2 Milioni.

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa mtuhumiwa wa ujambazi akiwa na silaha atazawadiwa Sh2 milioni. Hayo yameelezwa leo Jumatano Juni 23, 2021 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro katika mkutano wake na...
  3. Nyendo

    Mtuhumiwa wa mauaji ya Mwalimu Frola Mariki akamatwa

    Mkazi wa Tabata Kinyerezi, Dar es Salaam, Flora Mariki (34) anadaiwa kuuliwa na mtoto wa shemeji yake, binti mwenye umri wa miaka 22 baada ya kutokea ugomvi baina yao. Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ilala, Janet Magomi amesema tukio hilo lilitokea Jumapili Mei 30, 2021 na mtuhumiwa huyo (ambaye...
  4. U

    Askari Polisi Afa Maji Akimkimbiza Mtuhumiwa

    Gazeti la Mwananchi linaripoti kuwa Askari Polisi nchini Tanzania afande Isaya Kawogo amefariki.dunia akiwa kwenye harakati za kumkimbiza ili kumkamata mtuhumiwa wa uhalifu Tukio hilo limetokea Mwisenge Musoma wakati Askari huyo akijaribu kumkamata mtuhumiwa huyo wa Ujambazi aliyejitosa...
Back
Top Bottom