Meli iliyobeba makasha 225 ya kampuni ya CMA-CGM SAIGON imewasili katika bandari ya Mtwara kwa ajili ya kusafirisha shehena ya korosho ghafi katika msimu wa 2023/24.
Akizungumza leo Oktoba 22,2023 baada ya kupokea Meli hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mwanahamisi Munkunda, amesema kuna Meli...