Iskandar Muda (1583? – 27 December 1636) was the twelfth Sulṭān of Acèh Darussalam, under whom the sultanate achieved its greatest territorial extent, and was the strongest power and wealthiest state in the western Indonesian archipelago and the Strait of Malacca. "Iskandar Muda" literally means "young Alexander," and his conquests were often compared to those of Alexander the Great. In addition to his notable conquests, during his reign, Aceh became known as an international centre of Islamic learning and trade. He was the last Sultan of Aceh Sultanate from patrilineal descendant of Ali Mughayat Syah the founder and the first Sultan of Aceh Sultanate. Iskandar Muda's death meant that the founding dynasty of Aceh Sultanate, the House of Meukuta Alam died out and was replaced by other dynasty.
Wanajamii wenzangu, barua yangu ya uhamisho katika ngazi za wilaya ilikamika kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine baada ya kusota kwa muda mrefu na nilishapeleka mkoani.
Nashindwa kuelewa process ya mkoani kwenda wizara itachukua muda gani isije ikawa zinawekwa kapuni mana mpaka naifikisha mkoani...
Naam tuachane na ile mambo ya kukopa. Tuchukulie ile akiba kidogo inayoweka kutokana na mshahara wako tu unaolipwa kama umeajiriwa.
Uliweza kutumia miezi, miaka ama decade ngapi kupata mtaji wa Tshs. Milioni 3?
Mjadala huu utasaidia waajiriwa wengi kujijua wapo kwenye hali gani kulingana na...
Habari wakuu.
Kama kuna mwenye uzoefu wa kupokea pesa kutoka nchi za Ulaya kupitia benki ya NMB anijulishe inachukua siku ngapi. Nilikuwa natumia CRDB zamani ilikuwa inaingia ndani ya masaa 24.
Habari zenu wakuu,
Nina tatizo la network hapa nyumbani kwangu maeneo ya sebleni kwangu na chumbani kwangu ambako ndiko natumia internet.
Sasa kuna sehemu ya nje ni kama kibanda kisicho na umeme, network imejaa 4g huwa inashika vizuri sana, nataka niweke portable wifi router ndogo hizi...
Mimi ni mfuatiliaji wa mabunge mbalimbali duniani.
Katika mabunge makini ninayoyafuatilia huo naona panapofanyika mawasilisho (submissions),Wabunge huwa watulivu na wenye kutafakari mambo (digest issues).
Sisi wabunge wetu hapo ni kupiga meza (makofi),kucheka na hata kuimba muda wote! Do we...
Wakuu ningependa kufahamu mwanamke akipata ujauzito tumbo lake huanza kuonekana baada ya muda gani kubwa
Nauliza kwa maana kuna mahala tiyali mtoto wa mtu kabeba ujauzito wangu
Rais ametangaza kutoa bilioni kadhaa kwa ajili ya mafuta, lakini hatujui vita vya Ukraine vitaisha lini hivyo ni ngumu kujua kwa muda gani tutaendelea kutoa hela au kuondoa tozo na kodi kwenye mafuta.
Moja ya misingi ya Marekani ni kutokuwa na rafiki au adui wa kudumu. Nadhani na sisi tuwe...
Habari wanajamvi,
Sina uzoefu na ujuzi wa ufugaji wa kuku. Nauliza tu kuku wa kienyeji huanza kutaga tena baada ya mda gani endapo amemaliza kutaga na nimemnyima kulalia mayai?
Aliyefiwa na mke au mume; ni baada ya muda gani ndio anaruhusiwa kuoa/kuolewa?
Maisha ya ndoa huwa ni matamu sana, hasa kwa wale wachache waliobahatisha kupata mtu sahihi.
Inafikia kipindi, wanakuwa na mfanano fulani; unaweza kuwa wa sura, kuongea, au tabia.
Inapotokea mmoja wapo anafariki...
Swali kwenu wabobezi na watafiti wa hili jukwaa.
Huwa una shave shamba la kufugia nywele/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani?
Ni wiki, wiki 2, mwezi au mwaka?
Binafs kwangu kunyoa naonaga karaha sana.
Ukiona nimeenda saluni ujue masikio tayar yashafunikwa na nywele...
Hili ni swali ambalo nimekutana nalo mahala fulani na mmoja wa wachangiaji ambaye ni Mr Kyle Krebs ambaye ni B.S. in Electrical Engineering & Mathematics, The University of Utah anajibu kama ifuatavyo:
1. Hawataweza kufika kwenye Mainland kwa sababu Mmarekani ana madude kama haya 11
USS...
Profesa Andrew Futter, mhadhiri na mtafiti mwandamizi ktk maswala ya silaha za nyuklia Chuo kikuu cha Leicester, Uingereza, amehojiwa na chombo cha habari MyLondon kuhusu linakuwaje kuwaje shambulio la silaha za kinyuklia ktk mji, na namna gani laweza kudhibitiwa. Profesa Futter akawapigia mfano...
Kuwa muwazi, mara ya mwisho kubaili mswaki ilikuwa lini, ilikuwa ni muda gani umepita kabla ya kununua mswaki mwengine.
Binafsi mimi kama mimi kwa asili yangu nilikuwa natumia mswaki hata miezi minne ama mitano, kwa sasa nasaidiwa na mke wangu anabadilisha kila mwezi, bila hivyo ningeendelea...
Wakati wowote janga lolote baya linaweza kutokea na kutukumba hapa duniani,kila taifa na jamii itapambana kwa kadri iwezavyo.
Najua akina sie huku hatutachukua muda tutapukutika kama pori lililoshika moto!.
Mfano wa majanga hayo yanayoweza kutokea ni kama dunia kuangukiwa na kimbuka kikubwa...
Mzigo umefika katika ofisi za FedEx local facility, cha ajabu tracking inaonesha utakua delivery tar 4 mwezi wa pili, zaidi ya siku kumi na tano mbele, nami nataka nisafiri, namba za simu hawapokei, naomba mwenye uzoefu anipatie
Wakuu kwema.
Jana nimeona itv wameandika kuhusu mchakato wa ajira za ualimu, wakimnukuu naibu tamisemi.
Kwamba hio ni baada ya madarasa kukukamilika sasa ni muda wa kujenga matundu ya vyoo na mchakato wa ajira kuanza.
Sasa ningependa kujua inaweza ikachukua muda gani mpaka mchakato huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.