muhimbili

Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is a public university in Dar es Salaam, Tanzania. It is accredited by the Tanzania Commission for Universities (TCU).

View More On Wikipedia.org
  1. Katambala

    META Project job openings at National Institute for Medical Research, Muhimbili Center

    The National Institute for Medical Research (NIMR) is a Parastatal Organization established by the Act of Parliament No. 23 of 1979 and became operational in 1980. The National Institute for Medical Research (NIMR) Muhimbili Medical Research Centre is looking for full time qualified Tanzanians...
  2. K

    Sio Muhimbili na Mloganzila tu, hospitali zote za umma zimulikwe

    Habari iwe nanyi! Nashukuru wazalendo wa taifa hili walioleta kero za hospitali zetu hasa MNH-Mloganzila, kwa kweli kuona tatizo kubwa kama hilo na kulisema ndiyo uzalendo wenyewe. Kukaa kimya huku mambo yanaharibikia tena ya kupoteza wapendwa wetu ni sawa na uhaini.
  3. Z

    Kwako Waziri wa Afya: Matatizo matatu ya Hospitali ya Muhimbili na Mloganzila ni haya

    Mheshimiwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, hizi ni Hospitali pacha zenye uzoefu wa uzembe zina matatizo haya matatu; Madaktari Wazoefu kuhangaikia Hospitali za Mitaani kuliko mwajili wao Kuwatumia Wanafunzi kujifunza bila Daktari mzoefu mbele ya mgonjwa Madawa ’feki’ kwa wingi ndani ya Hospitali...
  4. S

    Hospitali ya Taifa Muhimbili yajibu hoja za Wana JamiiForums kuhusu vifo Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI KWAMBA WAGONJWA WENGI WANAPOTEZA MAISHA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA. Dar es Salaam. 06 Januari, 2020 Kumekuwa na taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Jamii Forum ambazo bila kuchanganua zinatuhumu kwamba...
  5. elivina shambuni

    Muhimbili awamu mpya ilivyookoa mabilioni, pia huduma mpya kibao

    Chimbuko lake ziara ya ghaa JPM, Yasuka upya wataalamu ughaibuni, Mapato yapaa bn 2.6/- hadi bilioni 5 . MNAMO Novemba 9 ya mwaka 2015, akiwa mgeni madarakani, kwa mara ya kwanza Rais Dk. John Magufuli, alifanya ziara ya kushitukiza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kusikiliza kero...
  6. elivina shambuni

    Muhimbili yapiga hatua kubwa utoaji wa huduma za kisasa

    Serikali imeendelea kutekeleza ahadi zake kwa wananchi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya ambayo imepewa kipaumbele ili kuwawezesha wananchi kupata huduma zilizobora kama vile upatikanaji wa dawa, vipimo ambavyo vilikuwa vinapatikana nje ya nchi. Katika miaka Minne ya Serikali ya...
  7. Influenza

    Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

    Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) nchini Tanzania itaanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kuanzia Januari mwaka 2020. Hayo yameelezwa leo Jumanne Novemba 19, 2019 na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Profesa Lawrence Museru wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya miaka minne ya MNH tangu...
Back
Top Bottom