muungano wa tanganyika na zanzibar

  1. hajimadogo

    Waliohoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wafikia hatua gani?

    Wale ndugu zetu 40,000 wa Tanzania waliofungua kesi mahakama ya Afika Mashariki juu ya kuhoji uhalali wa uwepo nchi ya Tanzania wamefikia wapi? April 26, 2019 Tanzania imeadhimisha miaka 55 ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Muungano huo ndio uliozaa Tanzania ambao uliasisiwa na...
  2. MWALLA

    Tuna Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tu, siyo Tanzania

    Kwa mujibu wa Mkataba wa Muungano uliotiwa sahihi Aprili 22, 1964 kati ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, na kwa mujibu pia wa Sheria ya Muungano, Namba 22 ya 1964 iliiyoridhia Mkataba huo kuupa nguvu ya Kisheria na kutumika nchini, jina sahihi la Muungano...
  3. Rev. Kishoka

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe. Lakini imekuwa ni dhambi, tena yenye sumu kali kwa mtu yeyote kuhoji au kutaka kuuchambua Muungano huu. Lengo langu si...
  4. S

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha. Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional...
Back
Top Bottom