muungano

Tanzania (, Swahili: [tanzaˈni.a]), officially the United Republic of Tanzania (Swahili: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania), is a country in East Africa within the African Great Lakes region. It borders Uganda to the north; Kenya to the northeast; Comoro Islands and the Indian Ocean to the east; Mozambique and Malawi to the south; Zambia to the southwest; and Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of the Congo to the west. Mount Kilimanjaro, Africa's highest mountain, is in northeastern Tanzania.
Many important hominid fossils have been found in Tanzania, such as 6-million-year-old Pliocene hominid fossils. The genus Australopithecus ranged all over Africa 4 to 2 million years ago; and the oldest remains of the genus Homo are found near Lake Olduvai. Following the rise of Homo erectus 1.8 million years ago, humanity spread all over the Old World, and later in the New World and Australia under the species Homo sapiens. Homo sapiens also overtook Africa and absorbed the older archaic species and subspecies of humanity. One of the oldest known ethnic groups still existing, the Hadzabe, appears to have originated in Tanzania, and their oral history recalls ancestors who were tall and were the first to use fire, medicine, and lived in caves, much like Homo erectus or Homo heidelbergensis who lived in the same region before them.
Later in the Stone and Bronze Age, prehistoric migrations into Tanzania included Southern Cushitic speakers who moved south from present-day Ethiopia; Eastern Cushitic people who moved into Tanzania from north of Lake Turkana about 2,000 and 4,000 years ago; and the Southern Nilotes, including the Datoog, who originated from the present-day South Sudan–Ethiopia border region between 2,900 and 2,400 years ago. These movements took place at about the same time as the settlement of the Mashariki Bantu from West Africa in the Lake Victoria and Lake Tanganyika areas. They subsequently migrated across the rest of Tanzania between 2,300 and 1,700 years ago.German rule began in mainland Tanzania during the late 19th century when Germany formed German East Africa. This was followed by British rule after World War I. The mainland was governed as Tanganyika, with the Zanzibar Archipelago remaining a separate colonial jurisdiction. Following their respective independence in 1961 and 1963, the two entities merged in 1964 to form the United Republic of Tanzania.The United Nations estimated Tanzania's 2018 population at 56.31 million, which is slightly smaller than South Africa, making it the second most populous country located entirely south of the Equator. The population is composed of about 120 ethnic, linguistic, and religious groups. The sovereign state of Tanzania is a presidential constitutional republic and since 1996 its official capital city has been Dodoma where the president's office, the National Assembly, and some government ministries are located. Dar es Salaam, the former capital, retains most government offices and is the country's largest city, principal port, and leading commercial centre. Tanzania is a de facto one-party state with the democratic socialist Chama Cha Mapinduzi party in power.
Tanzania is mountainous and densely forested in the north-east, where Mount Kilimanjaro is located. Three of Africa's Great Lakes are partly within Tanzania. To the north and west lie Lake Victoria, Africa's largest lake, and Lake Tanganyika, the continent's deepest lake, known for its unique species of fish. To the south lies Lake Malawi. The eastern shore is hot and humid, with the Zanzibar Archipelago just offshore. The Menai Bay Conservation Area is Zanzibar's largest marine protected area. The Kalambo Falls, located on the Kalambo River at the Zambian border, is the second highest uninterrupted waterfall in Africa.Over 100 different languages are spoken in Tanzania, making it the most linguistically diverse country in East Africa. The country does not have a de jure official language, although the national language is Swahili. Swahili is used in parliamentary debate, in the lower courts, and as a medium of instruction in primary school. English is used in foreign trade, in diplomacy, in higher courts, and as a medium of instruction in secondary and higher education, although the Tanzanian government is planning to discontinue English as the primary language of instruction but it will be available as an optional course. Approximately 10 percent of Tanzanians speak Swahili as a first language, and up to 90 percent speak it as a second language.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Barua ya wazi kutoka kwa Suleiman Said Bungara (Bwege) kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan

    Barua ya wazi Kutoka Kwa Suleiman Said Bungara ( Bwege) Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini kwenda kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan
  2. Ojuolegbha

    Jarida la Forbes: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jar

    Jarida la Forbes Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jarida la Forbes. Ushawishi wake katika masuala ya Diplomasia na kuwa kinara wa Nishati safi Duniani ni baadhi ya sababu, namna anavyoendesha nchi...
  3. milele amina

    Muungano wa Ulaya umeachia orodha iliyoimarishwa ya mashirika ya ndege yanayodhaniwa kuwa hatari, na kuyakataza kufanya kazi ndani ya anga la EU

    Muungano wa Ulaya umeachia orodha iliyoimarishwa ya mashirika ya ndege yanayodhaniwa kuwa hatari, na kuyakataza kufanya kazi ndani ya anga la EU. Sasisho hili la hivi karibuni linajumuisha Air Tanzania, ambayo imeongezwa kwenye orodha kufuatia wasiwasi wa usalama ulioangaziwa na Shirika la...
  4. Nehemia Kilave

    Pre GE2025 Kama sio Tundu Lissu ni Mwanasiasa yupi unadhani anaushawishi kuwakilisha Muungano wa Vyama vya Upinzani 2025?

    Uchaguzi umekaribia , ni vyema wagombea wa Upinzani wakawekwa wazi mapema watanzania tuwatathimini na kuwachambua. Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi, yupi unadhani pia anaushawishi?
  5. Fantastic Beast

    Kiuhalisia Rais wa JMT ndiye Rais wa Tanganyika. Akiwa ametokea Visiwani tahadhari kubwa inahitajika ili kuulinda Muungano.

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una mambo ya SEBULENI na ya CHUMBANI. Mojawapo ya mambo ya chumbani ni kwamba Rais wa JMT hawezi akatokea Visiwani moja kwa moja. Na kamwe haitokaa itokee Rais wa SMZ akatokea Bara. Rais Mwinyi na Samia walipata ngekewa za kuwa Marais wa JMT wakati tu wa...
  6. B

    Museveni awashawishi Marais wa Afrika Mashariki kwa hoja ya historia ya miaka 1000 ya Muungano wa Kibiashara Afrika Mashariki Arusha Tanzania

    29 November 2024 Makao makuu ya EAC Arusha, Tanzania Rais Yoweri Kaguta Museveni asema mbali ya kuadhimisha miaka 25 ya kufufuliwa EAC hapo mwaka 1999 https://m.youtube.com/watch?v=V3Uim1f150s Tunapoadhimisha miaka 25 ya EAC iliyofufuliwa, nilipendekeza katika hotuba yangu leo kwamba pia...
  7. popah21

    Ombi la wachimbaji wadogo kiomoni kwa mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dr. Samia.

    Sisi wachimbaji wadogo kutokea mkoani Tanga wilaya ya Tanga kata ya Kiomoni mtaa wa Kiomoni, tunamuomba mheshimiwa raisi awaamrishe makamishna wa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro waweze kutulipa fidia zetu, tumekua tukidai fidia zetu miaka na miaka kutokea mwaka 2021, tunasomesha watoto katika...
  8. ChoiceVariable

    Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

    Tanzania imealikwa Kuhudhuria Mikutano wa G20 huko Brazil ambapo Rais Samia ataiwakilisha Nchi kuanzia baadae mwezi huu. Hii inakuwa ni mara ya kwanza Kwa Tanzania kualikwa kwenye G20 na mara ya pili kualikwa kwenye ngazi kubwa ndani ya kipindi chake kwani Aliwahi alikuwa kushiriki mikutano wa...
  9. Magical power

    Rais Samia Suluhu amewapongeza Tabora United kwa ushindi wa goli 3-1 walioupata leo Novemba 7, 2024 dhidi' ya Yanga

    HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza Tabora United kwa ushindi wa goli 3-1 walioupata leo Novemba 7, 2024 dhidi ya Yanga SC. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rais Samia amendika hivi: “Pongezi kwa Tabora United kwa ushindi wenu dhidi ya...
  10. Vichekesho

    Muungano gani huu wa KIBAGUZI?

    Hivi majuzi nimetoka kununua viwanja vya biashara kwenye mikoa 3 ya Tanzania bara na zoezi limekwenda vizuri sana, mamlaka zimetoa ushirikiano wakutosha, zoezi la kutransfer majina ya wamiliki limekwenda vyema sana. Baada ya hapo nikaja Zanzibar kupata eneo ili kukamilisha zoezi na kuanza hatua...
  11. K

    Je waziri mkuu ni wa Muungano au Tanganyika?

    “ Kadri tunavyozidi kuishi ndivyo tujitahidi kupunguza uongo tuliomezeshwa kwa muda mrefu sasa. Kwa mfano kuna ofisi inayoitwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kweli tunaye mtu kama huyo, au tuliye naye ni Waziri Mkuu wa Tanganyika au? Tufikiri kidogo, tutaona.” -...
  12. S

    Mzee Warioba akieleza jinsi Zanzibar walivyopora mamlaka ya raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na kujitoa kwenye muungano kinyemela!

    Ona pia Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara? Si kosa CHADEMA kuingia katika uchaguzi mkuu 2025 na sera kwamba wakishinda uchaguzi watahakikisha Tanganyika wanapata serikali yao ndani ya muungano...
  13. milele amina

    Nikiukumbuka Muungano: 14-10-2024: Siwezi kumuenzi Mwalimu Nyerere

    Ninaandika haya kwa hisia za kina kuhusu Muungano wa Tanzania, hasa katika muktadha wa kumuenzi Mwalimu Julius Nyerere. Kutokana na muktadha wa kisiasa na kijamii wa sasa, ninahisi kuwa siwezi kumuenzi Mwalimu Nyerere bila kuangazia ukweli kuhusu Muungano. Muungano huu, ambao ulianzishwa kwa...
  14. ranchoboy

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania): Je, tumefika wakati wa kuwaza serikali moja?

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni msingi wa umoja wetu, lakini nyuma ya pazia hili, kuna historia iliyofichwa na hisia ambazo mara nyingi hazizungumzwi. Migogoro ya Muungano huu imekuwa ikijitokeza mara kwa mara, na wengi hujiuliza, je, kweli tunaelewa mizizi ya matatizo haya? Nikiwa...
  15. S

    Pre GE2025 Si kosa CHADEMA kuingia katika uchaguzi mkuu 2025 na sera kwamba wakishinda uchaguzi watahakikisha Tanganyika wanapata serikali yao ndani ya muungano

    Tatizo ni kwamba siku zote vyama vya upinzani vimeingia katika uchaguzi mkuu bila kuwa na agenda kuu ambayo inawapa changamoto kubwa CCM. Utakuta upinzani wanakuja na slogan kama ubwawa kwa kila mtu, nitawajaza mapesa nk, sera au ilani nyepesi zisizowafanya wananchi wafikirie kuwapa kura badala...
  16. S

    Pre GE2025 Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?

    Tatizo Tanzania na mara nyingi Afrika kwa ujumla, tumezoea kufanya mambo kwa mazoea au kwa matarajio kwamba kama leo tumekula basi hata kesho tutakula tu. Ndio maana wengi wetu mambo ya kuandika wosia hatutaki. Hatutaki kufikiri mambo mbele kiasi hicho, au kudhani tukifa leo au kesho kutakuwa ni...
  17. Mandela5599

    Muungano unawanyonya Watanganyika

    Kwamba Zanzibar inawatu milioni moja na nusu, inawabunge 80 kwenye bunge la jamhuri ya muungano, wanalipwa posho na stahiki zote sawa na mbunge mwingine yoyote Mkoa wa Tanga unawatu milioni 2 na laiki mbili,kwa idadi ya watu Tanga inawazidi Zanzibar kwa zaidi ya watu milioni moja. Tanga ina...
  18. Ojuolegbha

    Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi kabla ya kufunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi kabla ya kufunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa lililofanyika katika uwanja wa Majimaji Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.
  19. Ojuolegbha

    Hodi Hodi Ruvuma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara ya Kikazi Mkoani Ruvuma kuanzia

    Hodi Hodi Ruvuma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara ya Kikazi Mkoani Ruvuma kuanzia Tarehe 23-28 Septemba, 2024.
  20. Superbug

    Swali kwa Spika na Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania.

    Je bado spika na bunge lake wanaamini watanzania wako salama dhidi ya utekaji? Je spika una maoni gani tunaomba tamko la wabunge wetu kupitia bunge kuhusu usalama wa watanzania dhidi ya watekaji. Mods msifute wala kuunganisha uzi huu hili ni swali la raia kwenda kwa mamlaka yenye dhamana ya...
Back
Top Bottom