mwarobaini

  1. mugah di matheo

    Hivi Jf haiwezi kupata mwarobaini wa FDL?

    Jf na wanachama wake ni mtandao mkubwa hivyo hatuwezi kufikiria namna ya kuisaidia Tanzania FDL maana imekuwa ligi ya kihuni na kwa kiasi kikubwa inachangia kuzorotesha hata vpl Maana wachezaji wengi huwa wanatokea kule hata marefa huwa wanaanzia kule. Ilikupunguza vurugu na upangaji was...
  2. Elius W Ndabila

    Ijue SGR, mwarobaini wa uchumi wa Tanzania

    SGR NDIO MWAROBAINI KATIKA KASI YA UCHUMI WA TANZANIA. Na Elius Ndabila 0768239284 Standard Geuge Railway (SGR) ni reli ya kisasa ambayo hutumia umeme. Ujenzi wa reli hii ya kisasa ya SGR tunaweza kusema inakuja kama mbadala iliyoachwa na Wakoloni. Historia inasema kuwa treni tunazotumia sasa...
  3. Yericko Nyerere

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni mwarobaini wa Upinzani kumng'oa Magufuli

    Chadema kama cha Kikuu cha Upinzania Tanzania kimeiva na kiko tayari kuongoza nchi, Umma kwa asasa unakiamini, na hata wafanyamaamuzi kwa sasa wanakiamini chama hiki. Kisiasa Chama cha siasa katika Uchsguzi hutembea katika madaraja makuu MATANO hadi kufikia kushika madaraka ya nchi (Kushika...
  4. Victor Mlaki

    Huenda wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu waliokaa na madeni kwa muda mrefu kupatiwa mwarobaini wake

    Kumekuwa na wimbi la wakwepaji na kibaya zaidi wengine wanajisifu kwa kuweza kuwa mbali na mikono ya loanboard kwa miaka kadhaa Nilichokibaini kwa mkakati inayosukwa wakati huu sidhani kama kutakuwa na mwanya mpana wa kukwepa tena na huenda wanufaika wakwepaji wakasababisha hasira zikahamia kwa...
  5. Deus J. Kahangwa

    Mafuriko Msimbazi Dar: Mwarobaini watua Ofisi ya Rais

    Usuli Kwa mujibu wa Kanzidata ya Kimataifa kuhusu Majanga Asilia yaliyotokea tangu mwaka 1990, Tanzania inakabiliwa na hatari ya majanga asilia yafuatayo, frikwensi zake zikiwa zimeonyeshwa katika mabano: mafuriko (62.2%), ukame (13.3%), tetemeko la ardhi (11.1%), kimbunga (8.9%), moto wa...
Back
Top Bottom