Habari,
Mimi ni kijana wa kitanzania, ninaishi DSM.. ninajishughulisha na kazi za usanidi wa mifumo ya kompyuta (computer programming).
Kampuni yangu mpya inaitwa sari technologies LTD.
Je, umeshawahi kusahau documents zako au mzigo wako wa muhimu sehemu..?
Je, umeshawahi kutaka kumtumia mtu...