MWELEKEO SAHIHI WA MAENDELEO YA TANZANIA
Maendeleo ni mchakato unaounda ukuaji, azimio, mabadiliko chanya, kupiga hatua, uchumi, mazingira, kijamii na idadi ya watu.
Kusudi la maendeleo ni kupanda kwa kiwango na ubora wa maisha ya watu pamoja na upanuzi wa mapato ya jumla na fursa za ajira bira...