Mungu ni Mwema kila wakati.
Wakuu tusaidiane mimi ni kijana ambaye nahitaji kazi katika kampuni za ujenzi wowote.
Naomba mwenye msaada aniunganishe.
Kiufupi nipo na Huwezo mkubwa wa kufanya kazi za nguvu katika site za ujenzi ....Mfano ujenzi wa barabara,Majumba n.k
Nb hata maswala ya...