Maswali yamekuwa mengi kuhusu jambo hili, Je, Kanisa liitii serikari au serikari itii kanisa? Je, Kanisa linaweza kuwa upande wa chama fulani? Je, serikali inatakiwa kuwaongoza waumini hata katika masuala ya imani?
Mimi nimeona vema kuandika kidogo kuhusu mada hii, baada ya kusoma maneno ya...