mwijaku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Video: Mwijaku kavuka mpaka Serikali ingilieni kati tunaaibika

    Inakuwaje wanajamvi. Hii sasa ni too much. Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York. Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya...
  2. JanguKamaJangu

    Mahakama yampa Mwijaku siku 21 kuwasilisha utetezi wake katika kesi dhidi ya Kipanya

    Jaji David Ngunyale ameahirisha kesi ya Ally Masoud Nyomwa anayejulikana zaidi kwa jina la Masoud Kipanya (KP) dhidi ya Burton Mwemba Mwijaku hadi tarehe 24.9.2024. Wakili wa Mwijaku (Wakili Patrick Malewo) ameomba kuongezewa muda wa kupeleka Mahakamani utetezi wake wa kimaandishi dhidi ya...
  3. SAYVILLE

    Mwijaku aongeze umakini anapokuwa ughaibuni

    Siyo mpenzi sana wa kufuatilia wala kuongelea maisha binafsi ya mtu ila hili naomba nitoe kama angalizo kwa muhusika tajwa ila inaweza kufaidisha na wengine. Mwijaku amekuwa na tabia ya kupost video akiwa huko ughaibuni. Nakumbuka video zake kule Ivory Coast kwenye AFCON kama kumbukumbu zangu...
  4. M

    Mathias houseboy anayeongoza kwa maisha bora Tanzania

    Mzuka wanajamvi! Houseboy wa Mhamasishaji, mchekeshaji, mwandishi wa habari na msomi mashuhuri nchini DC Mwijaku anayeitwa Mathias ndiye Houseboy pekee anayeongoza kwa maisha bora Tanzania. Kajengewa kabisa kaghorofa severnt quarter pembeni ya jumba la 1.3 billion. Anaishi utadhani siyo...
  5. dr namugari

    Tunadhamiria kumrudishia Mwijaku mahari yake atupe binti yetu anayemdhalilisha kutwa nzima

    Sisi Wachaga waishio DSM tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na binti waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anachokifanya Mwijaku kwa kwa bint Alice Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni kwamba amemchoka na hamuhitaji ni kheri amtoe kwa msemaji wa yanga bwana ally kamwe Ukiachia hilo la...
  6. J

    Pre GE2025 Mwijaku alimuweka mke wake Rehani kwenye mechi ya Simba na Yanga halafu 2025 anataka CCM impitishe agombee Ubunge Kawe, akipita Nitashangaa sana

    Mtu anayemdharirisha mkewe wa Ndoa kwa mambo madogo madogo kama ya Mpira hafai kabisa kuwa Mbunge iwe ni Kawe au Kigamboni, anasema mzee Mgaya Mzee Mgaya anasema CCM inaweza ikajichanganya na kumpitisha Mwijaku ila Wanachama hawatakubali huku mtaani kwani 75% ya Wapiga kura wa CCM ni wamama...
  7. Mkalukungone mwamba

    Mwijaku vipi, ameshamkabidhi Mke wake kwa Ali Kamwe?

    Mtangazaji Mwijaku alitoa ahadi kuwa Yanga Sc ikimfunga Simba basi atampa mke wake Ali Kamwe ambaye ni Msemaji wa Yanga Vipi sasa kashampeleka kwa Ali Kamwe au Kamwe amfuate mwenyewe? Ubaya Ubaya tu. Soma Pia: FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa...
  8. Mturutumbi255

    Mke wa Mwijaku apewe Maxi Mpia Nzengeli Tafadhali!

    Kwani Mwijaku anasemaje Muda huu? 🤣🤣🤣 Mwijaku tumuachie Kipanya tu wamalizane mahakamani mpaka akili zimkae sawa.
  9. Roving Journalist

    Kipanya amshtaki Mwijaku rasmi Mahakama Kuu, adai malipo mengine ya Tsh. Milioni 500

    Mchoraji wa katuni maarufu nchini Tanzania na kimataifa ambaye pia ni mbunifu na mtangazaji wa vipindi vya redio na televisheni vyenye mvuto mkubwa kwa jamii, Bw. Ally Masoud Nyomwa anayejulikana zaidi kwa jina la Masoud Kipanya (KP), amafungua mashitaka Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Ndogo...
  10. GENTAMYCINE

    Mwijaku: Juzi niligombana na Mke wangu kwakuwa alikaa chooni muda mrefu

    Hivi Mwanaume kabisa Timamu kwa kuwajua Wanawake walivyo na Changamoto zao za Kibaiolojia unaweza kweli kabisa Ukahoji ni kwanini wakienda Vyooni huwa wanakaa muda mrefu? Kuna taarifa fulani niliambiwa kuhusu huyu Jamaa nikawa nabisha ila sasa baada ya huu Upuuzi naanza Kuiamini. Chanzo cha...
  11. and 300

    DC Mwijaku na Baba Levo hizi safari kila mara kwenye nchi zenye historia ya Sembe imekaaje?

    1. Hizi safari kila mara kwenye nchi zenye historia ya Sembe imekaaje? 2. Kwa biashara ipi? 3. Mnasifia wanaume wenzenu Hadi sio. NB: Tunatahadharisha tu
  12. M

    Hivi huyu kweli siyo Boss wa Hamas Ismail Haniyeh kapiga picha karibu na Mwijaku alivyoenda kuhiji?

    Ebana wanajamvi inakuwaje? Hii picha ya Mwijaku aliyoipiga akiwa Mecca kwenye ibada ya Hija inamuenesha karibu yake akiwa na mtu anafanana kabisa na Boss wa kundi la kigaidi Hamas Ismail Haniyeh upande wa kulia. Mwijaku ni msomi mhamasishaji na mchekeshaji maarufu sana nchini.
  13. Kaka yake shetani

    Hivi kati ya Mwijaku na Diamond Platnumz nani limbukeni?

    Huyu jamaa ingekuwa yupo kabila la wenye misimamo wangesha mchapa viboko kwa mwenendo wake ila utafutaji wa riziki japo sio mwajumwa wa uswahilini. Huyu jamaa kwa sasa kunaweza kumkost japo ndio alikuwa mfano wake.
  14. Allen Kilewella

    Serikali ya Kenya imewasikiliza Wakenya. Sisi tunajadili Mwijaku na Masoud Kipanya

    Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa. Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe...
  15. S

    Kwanini polisi haimkamati Mwijaku ili kupata undani wa tuhuma nzito dhidi ya Masoud zinazotishia usalama wa nchi?

    Mwijaku amemtuhumu Masoud Kipanya kuwa "anafanya biashara haramu inayoharibu vijana". Ametoa tuhuma hizi kwa mandishi kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tuhuma hizi ni nzito na zinatishia usalama wa nchi. Nilitegemea polisi kwa haraka sana wamkamate Mwijaku na kumhoji kwa undani...
  16. Gemini AI

    Mwijaku amuomba msamaha Masoud Kipanya baada ya kumtuhumu kuwa “anafanya biashara haramu” na kutukana Viongozi akiwemo Rais

    A /Alaykum ..! Nachukua nafasi hii kukutaka radhi my brother kwa kukukosea na kukuvunjia heshima .! Kijana wako nimeghafilika kwa jazba . M/Mungu anasema innah llah maaswabereen . Nilipaswa kua na SUBRA kabla sijanyanyua kinywa . Ile clip imenipa funzo kubwa sana inshaalah mdani ya nafsi yako...
  17. Gemini AI

    Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

    Pia Soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mwijaku-amuomba-msamaha-masoud-kipanya-baada-ya-kumtuhumu-kuwa-anafanya-biashara-haramu-na-kutukana-viongozi-akiwemo-rais.2223427/
  18. M

    Baadhi ya waislamu wamjia juu Mwijaku kwa kuudhalilisha Uislamu

    Ebana wanajamvi inakuwaje Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai. Waumini hao wamekasirika na...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Watanzania wakienda kwenye mikutano ya sîasa usidhani wamefuata kûsikia jàmbo la maana. Hufuata vijembe vya Mwijaku na Babalevo

    Wakuu mpo! Watanzania wengi ûkiwaona kwenye mikutano ya Siasa usiwachukulie Serious sana kwa sababu wao wenyewe hawapo Seriôus. Wengi hupenda kusikia wanasiasa wakiwa jukwaani wakiongea kwa mtindo wa Mwijaku na Babalevo. Yaani mambo ya ajabuajabu. Maûtani yasiyo na kichwa wala miguu...
  20. Broadcast

    Diamond Platnumz amwambie Mwijaku too much is harmful

    Jana kwenye uzinduzi wa 7 Media ya Baba Levo niliona kumbe Mwijaku hana shida na Diamond wako poa kabisaa. Pointi yangu natamani sana Diamond amwambie mwijaku hata kama anamkubalia amtukane ili apate content za kumpa pesa lakn hasizidishe matusi na dhihaka anazomfanyiaga Diamond. Maana kuna...
Back
Top Bottom