mwili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msitari wa pambizo

    Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

    Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi. Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana...
  2. Geza Ulole

    Familia ya Barack Obama inaomba msaada wa kurudisha mwili wa Kezia Obama

    MY TAKE Aisee hapa jina la Barack Obama linatumika kumchafua Barack Obama!
  3. Mshana Jr

    Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

    Jamani jamani jamani kuna watu ni wafukunyuzi hasa, na kimsingi huwa wanatuchora vilivyo na kwa sehemu kubwa wakiangalia baadhi ya viungo mwili vinavyoonekana na kulinganisha na visivyoonekana Viungo maarufu ni midomo vidole vyote vya miguuni na mikononi Kwamba mtu mwenye lips [emoji182] nene...
Back
Top Bottom