Kipindi Yanga inajitafuta kabla GSM hajaokoa jahazi.
Kipindi yanga iko hoi kiuchumi kulikuwa na huyu kocha Mwinyi Zahera, tuliambiwa kuwa alikuwa akuwanunulia chakula Yanga na kulipa posho pale zinapochelewa.
Tukaambiwa ana apartment ufaransa na ubelgiji.
Baada ya Yanga kumtema nilisikia...