Je, uhai lazima uwe na macho? Lazima utambe au uruke? Au unaweza kuwa kitu tulivu, kinachostawi gizani, kikienea polepole kwa mamia ya karne bila mtu yeyote kugundua? Katika simulizi ya ajabu ya maisha, kiumbe kikubwa zaidi duniani si nyangumi wa buluu anayetamba baharini, wala si mti wa miwata...
Aliyetengeneza sinema ya Avatar alijua.
-Mycelium, au mycorrysis, ni ambayo huenea chini ya ardhi, na kuunda mtandao wa uhusiano kati ya aina zote za mimea, ambayo huwawezesha sio tu kuwasiliana, bali pia kujitunza, kujilinda na kujilisha wenyewe.
Hifadhi juu ya maji, Wakati mti katika msitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.