mzee magoma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Mzee magoma kaonekana MWANZA YANGA tujipange

    Habari zenye uhakika Mzee mamluki WA YANGA Mzee magoma ameonekana maeneo ya MWANZA Toka jana Akirindima maeneo karibu na SEHEMU mechi inapoenda kyfanyika Wanakamati WA YANGA msiliachie kirahisi hili tusijeadhibiwa ama yakatukuta ya Azam na Simba Alldbest
  2. C

    Kwa mujibu wa mzee Magoma Yanga ule sio uwezo wao bali wa wazee

    Akihojiwa leo baada ya ushindi wa goli nne,amekiri ule sio uwezo wa Yanga kwani walikwenda kuwaangukia wazee na yeye anasema walichomoa waya mmoja wa mechi za ligi. Hata hivyo bado waya wa mechi za kimataifa hawajachomoa hadi viongozi waeleweke. Ameendelea kusema kuwa,wakieleweka tu hata...
  3. M

    Kurujuan ya mzee MAGOMA inaendelea kufanya kazi ndani ya mtaa wa Jangwani. Lini hii slow pacha itazibwa?

    Eng Hersi na boss wake GSM wakae chini wayamalize na mwanachama kindakindaki wa Yanga,maarufu kama mzee Magoma. Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga...
  4. pesakilakitu

    Magoma awaasa uongozi wa Yanga kumtafuta haraka kuokoa "slow pancha"

    Mzee Magoma akihojiwa leo amenukuliwa akisema Yanga slow pancha ilianza muda mrefu. Mzee Magoma ambaye amesisitiza kua yeye ndio DAKTARI anayejua namna yakuitibu Yanga.. Kasema na kuwaasa uongozi unaongozwa na Mhandisi Hersi kua wamtafute wayamalize, la sivyo Yanga kule ligi ya mabingwa...
  5. Wakusoma 12

    Yanga mpeni Mzee Magoma timu yake mambo yaende sawa

    Wakuu kurujuni imeanza kazi, Kuna wahuni wamejimilikisha timu ilihali wamekuja mjini juzi. Mzee Magoma hayupo peke yake rudisheni timu kwa wenyewe mambo yakae sawa. PIA SOMA - Vipi tayari Mzee Magoma ameshapewa Yanga SC yake au bado Wezi na Matapeli wanaing'ang'ania tu?
  6. Babu Kijiwe

    Yuko wapi mzee Magoma? Tulimshauri kuwa asicheze na Yanga

    Yanga ina uhusiano wa karibu na wa kihistoria na CCM (ASP+TANU), Kucheza na Yanga ni kucheza na CCM na kucheza na CCM ni kucheza na serikali na kucheza na serikali ni kucheza na Moto wa makaa ya mawe. Kwahiyo kucheza na Yanga ni kucheza na moto wa makaa ya Mawe. Pole sana mzee. Soma Pia: Mzee...
  7. kavulata

    Timbwili la Mzee Magoma limezimwa, ameinusuru Simba.

    Hakuna Magoma tena, punzi imekata. Akina Magoma wako wengi sana pale Simba na Yanga (kulwa na doto), wale wa Simba walikuwa wakisubiria waone Magoma wa Yanga atanufaikaje na kesi ili nao walianzishe. Kushindwa kesi kwa Mzee Magoma na wenzake ni manusura kwa Simba. Wachambuzi na wanahabari wetu...
  8. Vichekesho

    Mzee Magoma awaita viongozi wote wa Yanga Mazezeta. Itakuwa vibaya kufika mbele ya mahakama kuthibitisha kauli yake?

    Sikiliza dakika ya 10 sekunde ya 40 na kuendelea, Mzee Magoma anasema kuwa viongozi wote wa Yanga walio chini ya engineer Hersi Said ni Mazezeta. Yaani kwakifupi anasema kuwa makamu wa rais wa Yanga ndugu Arafat Haji ni zezeta, Ally Kamwe ni zezeta, Simon Patrick ni zezeta nk. Swali kwa ofisi...
  9. kavulata

    Mzee Magoma na wenzake wale wamechanganyikiwa

    Magoma hawezi kulipia wakili bali kapewa wakili na wale jamaa zake kwa gharama zao. Aliyepeleka Yanga mahakamani ni Magoma, viongozi wa Yanga wanajibu mashitaka yake tu mahakamani. Kwahiyo akina Magoma walitaka Yanga wasiende mahakamani kujibu hoja zao...
  10. Nehemia Kilave

    Ni kwanini hatumuelewi Mzee Magoma?

    Je Engineer Hersi alichaguliwa na nani na anawakilisha upande upi ? Wa GSM au Wanachama Je mafanikio inayopitia yanga ndio yanatupumbaza ? Je Pesa za usajili za GSM ndizo zinafanya tusimuelewe mzee magoma?
  11. kavulata

    Mzee Magoma ametoa ajira S500 TV

    S500 TV baada ya kuhangaikia sana kupata maudhui yanayovutia kituo chake sasa hivi imepata bingo kwa Mzee magoma. Ni kituo pekee kinachohangaika sana na Magoma kila siku siku hizi Wanapata rizki huko. Vituo uchwara. Ubaya ubwela wa nje ya uwanja. Wakumbuke kuwa akina Magoma wako wengi mitaa.ya...
  12. Nehemia Kilave

    Mzee Magoma Akata Rufaa, asema bado hautambui Uongozi

    Muwe na siku njema wananchi , kuna uwezekano wanaomuelewa huyu Mzee ni wale Wawili. Mzee Juma Magoma baada ya kushindwa kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza la Wadhamini la Yanga, amekata rufaa kwenye Mahakama Kuu akiendelea kutafuta haki yake. Soma Pia...
  13. GENTAMYCINE

    Juma Ally Magoma ameuonya Uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini

    Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka. Amesema...
  14. Mributz

    Magoma na wenzake watiwa Mbaroni kwa kughushi nyaraka za Yanga

    Juma Ally Magoma na Geofrey Mwaipopo wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa lilofunguliwa na mwanasheria wa Klabu ya Yanga Simon Patrick ambapo walidaiwa kughushi saini za wadhamini wa Yanga. Wakili upande wa Magoma na Mwaipopo, Jacob Masenene, amesema kosa walilokamatwa nalo linadhaminika na...
  15. Vichekesho

    Nikweli Rais Samia yuko kwenye viganja vya GSM? Msikilize Mzee Magoma

    Huyu mzee anaweza kuwa msaada mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kwakutaja hao watu waliomwambia kuwa Rais Samia hafurukuti mbele ya GSM vinginevyo ukimya utathibitisha kuwa maneno yake ni yakweli. https://youtu.be/X4hGFQt829g?si=TJtK14gEvE_EUMyD
  16. Mpigania uhuru wa pili

    Mashabiki wa simba waanza mchango kwa ajili ya kumchangia legend Magoma akate rufaa

    Baada ya Magoma kuangukia pua leo ni pigo la pili baada ya kipigo cha mwizi cha jana kutoka kwa Simba ni maumivu juu ya maumivu hakimu angesubiria angalau mpaka jumatatu ndo atoe huku kidogo maumivu ya jana yangekua yamepoa. Kushindwa kwa Magoma ni pigo kubwa kwa Simba ni ukweli ili kuishinda...
  17. M

    Mzee Magoma ashindwa kesi ametakiwa kuilipa Yanga Sc zaidi ya Milioni 70

    Mzee Magoma ameshindwa kesi thidi ya Yanga CS ,hukumu imetoka leo 9 August katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ambapo Magoma ametakiwa kuilipa fidia Yanga . Amezungumza hayo meneja mawasiliano na habari wa Yanga Ali kamwe leo baada ya kutoka mahakamani na kushinda kesi hiyo. Pia Soma - Juma...
  18. GENTAMYCINE

    Vipi tayari Mzee Magoma ameshapewa Yanga SC yake au bado Wezi na Matapeli wanaing'ang'ania tu?

    Sakata la Juma Ally Magoma na Klabu ya Yanga linaendelea, ambapo leo saa 9 ( tarehe 7 August, 2024 ) Alasiri, hukumu ya kesi ya mapitio ya Bodi ya wadhamini wa Yanga dhidi ya Juma Ally Magoma na Geofrey Mwaipopo itatolewa katika Mahakama ya kisutu jijini Dar es Salaam. Mwanamichezo wetu...
  19. Pdidy

    Mzee magoma vs Kurjuan

    Huyu mzee hizi siku embu kaangalieni wapendwa sio wa kumchezea. Alimwambia kitu Ali Mamwe akafutika kabisa. Jana kahojiwa kasema dogo kurujuan imempitia wasubiri tarehe 8 Agosti, 2024. Dah haya mambo ya kafara atutaki embu viongozi ongeenae please.
  20. Morning_star

    Hivi huyu jamaa ni nani? Naona picha yake inatrend!

Back
Top Bottom