Hii ni mashine moja tu inaitwa Magoma, akija Mwaipopo je? Inasemekana Mwaipopo ni machachali sana, Magoma anasubiri.
Katika mahojiano yake na Sports HQ, Magoma amesema kwamba Haji Manara wakati akiishi Magomeni, alikuwa analewa mpaka anadondoka, anapata madonda, na pia akilewa alikuwa...