An honorific is a title that conveys esteem, courtesy, or respect for position or rank when used in addressing or referring to a person. Sometimes, the term "honorific" is used in a more specific sense to refer to an honorary academic title. It is also often conflated with systems of honorific speech in linguistics, which are grammatical or morphological ways of encoding the relative social status of speakers. Honorifics can be used as prefixes or suffixes depending on the appropriate occasion and presentation in accordance with style and customs.
Typically, honorifics are used as a style in the grammatical third person, and as a form of address in the second person. Use in the first person, by the honored dignitary, is uncommon or considered very rude and egotistical. Some languages have anti-honorific (despective or humilific) first person forms (expressions such as "your most humble servant" or "this unworthy person") whose effect is to enhance the relative honor accorded to the person addressed.
Tuliona kazi iliyotukuka iliyofanywa na Tume ya kukusanya maoni juu ya Katiba mpya mwenyekiti wa Tume hiyo akiwa Mzee Warioba.
Walikuwepo wazee kama Mzee Sitta walioshiriki katika mchakato huo katika ngazi mbalimbali, pamoja na kuwa na afya njema enzi hizo, Leo hatunao tena Duniani lakini Mzee...
Hbari za wakati huu.
Ni katika falsafa zangu binafsi naona kabisa maisha ni magumu sana ukiwa hai na ukifa ni magumu vilevile.
Kuna watu wanapokuwa hapa duniani ni dhahiri hatufanani. Hats m apotangukia mbele ya haki mnakuwa tofauti sana.
Uwepo wa wazaz wetu wapenz, wanapotuhudumia na...
Niko nimejilaza zangu kitandani nikiwaza na kuwazua huku nikifurahia mvua na radi zinazoendelea huko nje.
Katika kuwaza na kuwazua nikamkumbuka Clepatina wa umri wa miaka saba au nane hivi aliyekua akiishi na baba na mama yake wa kambo huko kijijini.
Mvua hizi zimenikumbusha mbali utotoni...
Ni ukweli usiopingika kuwa 60% ya wasomi wa miaka ya karibuni walifanikiwa kusoma kwa juhudi za Marehemu Mzee Mkono alipokuwa Mkuu wa Bodi ya Mikopo ambaye binafsi alihakikisha hakuna mtoto wa masikini hasomi na ndiyo maana kuna muda aliweza hata kutoa pesa zake mfukoni ili wanafunzi walipwe na...
Naomba Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi wajae Msibani ili Wamchane Leah Bintiye Marehemu Mzee Mkono.
Pia Wazaramo na Wahehe nao Wajae ili Wamchane Mjane wa Mzee Mkono ( Mama Leah ) kwa waliyoyafanya.
Baada ya kufungiwa kanisa, hana pa kusali, mtu huyo bado anarusha tv yake ya toplus (ipo azam tv). inawezekana amejirekebisha lakini tunaomba TCRA muwe macho dhidi ya huyu mtu. ni hatari kwasababu akimaliza kwa wakristo atamaliza kwa waislam na atachafua kabisa hili taifa.
1. alisema BIBLIA ni...
SIMBA VS YANGA;KIKOSI CHA YANGA KILICHOFUNGWA NA SIMBA NI SAWA NA KIKOSI KILE KILICHOKUWA KINAFUNGWA SANA NA MZEE WA KIMINYIO MADARAKA SULEIMANI.
Leo 10:15hrs 17/04/20223
Mwaka 1994 timu ya Yanga ilikuwa na timu bora sana lakini kikosi hicho bora kililegezwa na mgogoro mkubwa wa Yanga asili na...
KESI YA MZEE MNYOKA 01
Mzee Mnyoka alikua na kawaida ya kuchelewa kurudi nyumbani kwake, Mzee Mnyoka hakua mlevi au mchawi lakini tuseme tu hakua na mazoea ya kurudi nyumbani mapema.
Siku ya Alhamis Kama ilivyo kawaida yake Mzee Mnyoka alikua akirudi nyumbani kwake majira ya saa 4:45 hivi...
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mango akiwa ziarani Mwanza amesema hataki kusikia tena Barabara zikifungwa kwa masaa mengi ili apite, huku akisema dakika 10 zinatosha ili Wananchi waendelee na shughuli zao.
Dr. Mpango amewaomba radhi Wananchi kwa usumbufu walioupata baada ya jana Barabara kufungwa...
ajali
barabara
dakika
dkt. mpango
edward
hoja
kufunga
kufunga barabara
kupisha
makamu
makamu wa rais
marufuku
misafara ya viongozi
moringe
mpango
mrefu
msafara
muda
muda mrefu
mzee
rais
sokoine
vipi
yako
Mzee Yusuph Makamba amesema "Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki...niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu Watanzania ni kiongozi bora, anatosha. Wakae watulie sasa"
Ameongeza kuwa "Muhimu tumwombee kwa kuwa ni...
Founding President Mzee Jomo Kenyatta Never Attended Church During His 15 Year Presidency
The mere mention of the founding father of Kenya Mzee Jomo Kenyatta excites an aura of reverence, power and astuteness.
What many might not remember of President Uhuru Kenyatta’s father was that he was a...
MWALIMU WANGU MZEE KISSINGER
MZEE KISSINGER WA MTAA WA CONGO CHUO KIKUU CHA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Mzee Kissinger huniambia, ''Wewe Mohamed mimi nimekusomesha wapi?''
Mimi huwa simjibu kitu nashukuru na kama nimefuata kujua kitu kutoka kwake nitamuuliza na pale pale mwalimu wangu...
Kama ukiwa huna Akili Kubwa na siyo Critical Thinker kamwe Siku zote hutoweza Kumuelewa Genius Mwingine wa Kizanaki Waziri Mkuu, Kada Mwandamizi wa CCM na Jaji Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa yale ama anayoyaona au ayasemayo.
Amesema na Ameshasema mengi ila kwa leo GENTAMYCINE (Mzanaki...
Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la EMMANUEL MKOMAWAGI ambaye alikuwa mwanajeshi Arusha Monduli akishirikiana na mwenyekiti wa kijiji cha Kaporo Ifakara anayeitwa SAIDINA FAYA kumteka mzee mstaafu anayekadiriwa kuwa na miaka 80(jina Kapuni!)ambaye anasumbuliwa na kisukari na presha.
Mzee...
Sio mfuatailiaji sana Wa tamthilia ya mwantumu DSTV nimeangalia Mara kadhaa ila sikuwahi kutambua kama kaboba ni Joti.
Kama kwa hakika joti ana kipaji siku zote nilidhani kaboba ni msanii mwingine kabisa anayevaa tu mindevuna kitambi Leo mtoto mdogo ndo kanisanua kuwa yule huwa ni joti.
Kweli...
Machozi ya waitara,ubabe wa
Julius Marwa
Tarime - Mara
Bila shaka yanayoendelea mkoani mara wilayani tarime kata ya nanyungu si ya kuachwa na kutazamwa yapite bali busara za mama zinahitajika haraka
Labda niwakumbushe kidogo watanzania wenzangu eneo hili lenye...
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...
Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...
Mwanaume mmoja mwenye umri zaidi ya miaka 50 aliyejulikana kwa jina la Hakimu Juma, mkazi wa Chamwenda, Kata ya Nyansaka Wilayani Ilemela Jijini Mwanza amejikuta matatani baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kumbaka binti wa miaka saba mtoto wa jirani yake.
Inadaiwa kwamba mzee huyo amekuwa na...
Muktasari:
Vigogo walioitwa kwenye shauri hilo bila kufika ni Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mkuu wa mkoa wa Arusha, Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa Arusha, mkuu wa wilaya ya Ngorongoro na mkuu wa polisi wilaya ya Ngorongoro.
---
Kesi ya kulazimishwa kupotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.