mzizi

  1. Replica

    Baada ya kukatwa CCM, Andrew Chenge akanusha vikali tetesi za kuhama chama

    Andrew Chenge amejitokeza baada ya kuwepo tetesi za kuhamia chama cha ACT-Wazalendo na kuongelea tetesi hizo zinasombaa kwenye mitandao ya kijamii. Chenge amewashukuru viongozi wa chama cha Mapinduzi kwa heshma waliyompatia tangu 2005 kupeperusha bendera ya CCM kukomboa jimbo kutoka upinzani...
  2. Tz boy 4tino

    Suala la ubaguzi wa rangi Marekani lina mzizi mkubwa

    Swala la ubaguzi wa rangi Marekani sio swala linalotokea kwa bahati mbaya. Chuki ya Mzungu dhidi ya mweusi sio tabia/hulka ya mtu. Ubaguzi Marekani unatokana na mfumo wa nchi hiyo, Wabaguzi wa rangi nchini Marekani hawajatokea kwa bahati mbaya bali mfumo ndo umetengeneza watu wa namna hiyo...
  3. Usinijibu ivyo

    Nipe maoni yako kwenye hii

  4. elivina shambuni

    Rais Magufuli akata mzizi wa fitna uteuzi CAG

    BAADA ya kuwepo mjadala mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu uteuzi na utenguzi wa nafasi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Rais John Magufuli amemaliza mijadala hiyo kwa kuweka bayana kuwa nafasi hiyo, haipo juu ya mamlaka ya mihimili mikuu mitatu...
Back
Top Bottom