Nimehamia Morogoro huu mwaka wa saba,ambacho sikielewi ni manispaa kushindwa kujenga njia ya mzunguko itakayo unganisha Kihonda,Tungi, Kingolwira, Msongeni, Bigwa. Sanga sanga, Mazimbu, Kihonda.
Faida;
1.Njia hii itapunguza foleni ya gari zote kuingia msamvu.
2.Itafungua kata ya...