n-card

Ransom v. FIA Card Services, N. A., 562 U.S. 61 (2011), is a decision by the Supreme Court of the United States involving the means test in Chapter 13 of the United States Bankruptcy Code. The means test had been adopted by the Bankruptcy Abuse Prevention and Consumer Protection Act of 2005, and Ransom is one of several cases in which the Supreme Court addressed provisions of that act.
The means test determines how much disposable income debtors have to pay back their creditors, and permits debtors to shield some income from creditors for expenses based on cost tables prepared by the Internal Revenue Service. The Court ruled in Ransom, primarily in reliance on supplemental commentary authored by the IRS, that a car-ownership cost allowance was available only to debtors who made loan or lease payments on a vehicle. This judgment resolved a circuit split regarding the allowance between the Ninth Circuit, which the Supreme Court affirmed in this case, and three other circuits that had all ruled the allowance applied even to debtors who owned their cars outright.
The Court's opinion was delivered by Justice Elena Kagan, who was confirmed to the Court on August 7, 2010. The opinion was not only her first as a Supreme Court justice but also as a judge, and her participation in the case's oral argument, which was held on the first day of the Court's 2010 term, had also been her first. Justice Antonin Scalia, the sole dissenter, criticized the Court for using the supplemental commentary on the tables when the Bankruptcy Code only incorporated the tables but not the commentary.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    KERO Serikali angalieni namna ya kutatua kero hii ya N-Card Kivukoni Ferry. Si vema kutumia kadi ya mtu kuvuka

    Serikali ya Tanzania haijawahi kuwa serious na kazi zake hata siku moja nimeshangaa sasa utaratibu uliopo hapa Kivukoni Ferry (Dar es Salaam) ukitaka kwenda kupanda Panton kuvuka kwenda Kigamboni. Kwanza nikiri kuwa utaratibu uliowekwa kutumia kadi (N - Cards) ni hatua nzuri sana lakini hatua...
  2. Utitiri wa Kadi: Kwanini tusiwe na Kadi Moja ya Huduma za Usafiri inayoweza kutumika kwenye maeneo yote?

    Habari zenu wakuu. Natumaini mko salama humu jukwaani. Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Jana nilikutana na mjadala mtandaoni kuhusu uzinduzi wa kadi mpya za mwendokasi, ambapo sasa bila kadi hii huwezi kufanya safari kwenye usafiri wa mwendokasi. Hii imenifikirisha...
  3. D

    KERO Makato ya malipo ya kadi Kivukoni-Kigamboni

    Nimelipa Elfu 2 kwenye N-CARD nimwekewa 1900Tsh eti kuna makato ya Tsh 100. Hii inatokea kwa wengine imekubalika pale ferry. N-Card ni platform ya malipo ya serikali kwa faida ya serikali, lakini kama inanufaisha wengine, kwa kutotoa elimu zaidi ya namna ya kulipia kadi hiyo, au kutofanya...
  4. Mwakilishi wa Kampuni ya N-Card: Taarifa inayosambaa kuhusu Yanga SC kuizidi Simba SC mapato ni Uwongo

    "Moja ya Makubaliano ya Kisheria tukiingia na hivi Vilabu vya Simba na Yanga katika Matamasha yao ni kutotaja Mapato yao na hiyo Taarifa inayosambaa kuwa Sisi N-Card tumesema Yanga SC imeizidi Simba katika Mapato ya Matamasha yao ni ya Uwongo na ipuuzwe imeandikwa na Waandishi Wahuni" amesema...
  5. D

    Matumizi ya N-card Kivukoni Kigamboni siyo shirikishi; yanafyeka salio la wananchi kimya kimya. Fanyeni hivi kuondoa tatizo

    Matumizi ya Card kwenye vivuko ni mazuri lakini yamekuja na changamoto ya kuibia wananchi pesa zao kielektronikia! Nauli ya kivuko ni tsh 200 kwa watembea kwa miguu, na elfu 1500 au 2000 hata zaidi kwa magari! Pesa hiyo hukatwa unapochanja (scan)! ZIFUATZO NI BAADHI YA CHANGAMOTO 1. Yapo...
  6. Mfumo mbovu wa N-Card Stendi ya Magufuli

    Kufuatilia taarifa ya juzi halmashauri ya wilaya Ubungo ilipotangaza kuwa tiketi za kuingilia getini zilipwe kwa mfumo wa N card kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli kilitekeleza agizo. Cha kushangaza mifumo waliyo iweka inatia sana ukakasi, kama ifuatavyo. 1. Dirisha la utoaji wa kadi ni moja...
  7. Ushauri kwa Serikali kuhusu utaratibu wa kutumia kadi ya kieletroniki Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli

    Tangu jana tarehe 20 Februari 2023 serikali imeweka utartibu mpya kwenye kituo cha mabasi cha Kimataifa cha Magufuli Bus Terminal pale Mbezi; ambao kimantiki ni utaratibu mujarabu unaoleta tija kwa jamii. Utaratibu wa kutumia kadi ya kieletronic ya N-Card kwa wananchi wanaoingia ndani. Mantiki...
  8. Abiria kulipa ushuru kwa kadi getini Stendi ya Magufuli hata kama ana tiketi

    Manispaa ya Ubungo, imeanzisha utaratibu mpya wa kuingia na kadi katika stendi ya kimataifa ya mabasi ya Magufuli ili kudhibiti upotevu wa mapato kwa abiria wanaoingia katika kituo hicho kilichopo Mbezi Luis. Hatua ya matumizi ya N- Card iliyoanza leo Jumatatu Februari 20, 2023 imelenga pia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…