Kwa hiyo siku hizi vyombo vya usalama ndani ya kata, wilaya na mkoa haviwezi kufanya majukumu yao? Kwa ishu ndogo kama kupotea mwanafunzi
Msukuma amegeuka kuwa mpiga debe wa Dp world
Watu wanasahah mambo ya msingi kama kujadili bajeti.
Alafu tunaambiwa Mwigulu ni waziri bora hajawahi kutokea.
Heshima zenu wakuu.😊
Habari za wakati huu
Karibuni Dollrubii_Decors
SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote nchini karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️FURNITURE
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️PAZIA
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
FREE DELIVERY DAR...
Siku tatu baada ya Tume ya Kutathmini Mfumo wa Haki Jinai ianze kazi yake, imesema Tanzania kuna mmomonyoko na upungufu wa imani za wananchi kwa taasisi zinazotoa haki.
Tume hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti, Jaji mstaafu Mohammed Chande na Makamu wake, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Ombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.