[emoji179]Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
[emoji179]Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
[emoji179]Chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu...