Katika muendelezo wangu wa kuwasakama watani zangu Wapare, leo nitamtambulisha mpare mmoja aliyekuwa kiboko ya wapare wenzie.
Mpare huyu alijiita Nabii Elia (Eliya) wa upareni.
Mtu huyu alikuwa ni wa kutokea pande za Usangi ila akahamia Same Kisiawani kwenye Milima pembeni ya njia ya...
Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.