Naibu Waziri: Msaidieni Rais Samia Utekelezaji Anwani za Makazi
Immaculate Makilika – MAELEZO, Songwe
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Mhandisi, Kundo Mathew amewaomba Wakuu wa Mikoa yote nchini kuendelea kutekeleza zoezi la Anwani za Makazi katika mikoa...