nairobi

Nairobi () is the capital and the largest city of Kenya. The name comes from the Maasai phrase Enkare Nairobi, which translates to "cool water", a reference to the Nairobi River which flows through the city. The city proper had a population of 4,397,073 in the 2019 census, while the metropolitan area has a population of 9,354,580. The city is popularly referred to as the Green City in the Sun.Nairobi was founded in 1899 by the colonial authorities in British East Africa, as a rail depot on the Uganda Railway. The town quickly grew to replace Mombasa as the capital of Kenya in 1907. After independence in 1963, Nairobi became the capital of the Republic of Kenya. During Kenya's colonial period, the city became a centre for the colony's coffee, tea and sisal industry. The city lies on the River Athi in the southern part of the country, and has an elevation of 1,795 metres (5,889 ft) above sea level.According to the 2019 census, in the administrative area of Nairobi, 4,397,073 inhabitants lived within 696 km2 (269 sq mi).Home to thousands of Kenyan businesses and over 100 major international companies and organizations, including the United Nations Environment Programme (UN Environment) and the United Nations Office at Nairobi (UNON), Nairobi is an established hub for business and culture. The Nairobi Securities Exchange (NSE) is one of the largest in Africa and the second-oldest exchange on the continent. It is Africa's fourth-largest exchange in terms of trading volume, capable of making 10 million trades a day.

View More On Wikipedia.org
  1. GoldDhahabu

    Mpaka upi utakaoniwezesha kufika Nairobi kwa kupitia Bunjumbura, Kigali na Kampala?

    Mwezi ujao ninatarajia kwenda Nairobi nchini Kenya. Kwa kuwa sijawahi fika Kigali, ninataka nitumie fursa hiyo kwa kupita kama njia. Matamanio yangu ni kupitia Bunjumbura na Kigali ambako kwa kila jiji nitalala siku moja. Baada ya hapo, nitaendelea na safari hadi Nairobi kwa kupitia Kampala...
  2. Suley2019

    Wamiliki wa paka Nairobi kuanza kulipa ada ya leseni ya Ksh200

    Wamiliki wa paka jijini Nairobi sasa watalazimika kulipa Sh200 kama ada ya leseni kwa serikali ya kaunti. Hii ni miongoni mwa mapendekezo yaliyomo kwenye Muswada wa Udhibiti na Ustawi wa Wanyama wa Kaunti ya Jiji la Nairobi wa mwaka 2024. Muswada huu unashughulikia nyanja mbalimbali za...
  3. Informer

    Polisi: Marufuku kufanya Maandamano jijini Nairobi leo Julai 18

    Jeshi la Polisi limemepiga marufuku maandamano yanayotarajiwa kufanywa na Gen Z leo katikati ya jiji la Nairobi. Kipeperushi kilichosambazwa na vijana wameonesha kunuia kufanya maandamano makubwa zaidi leo na wakiwa wamepania kuelekea Ikulu. Polisi imetoa onyo kali na huenda nguvu kubwa...
  4. Dalton elijah

    Mkuu wa Polisi Kenya atoa siku 21 kukamilisha uchunguzi wa mauaji ya Kuare, Nairobi

    Kaimu mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja amewahamisha maafisa wote wa kituo cha Kuare kiliko mita chache kutoka machimbo ya mawe ambako maiti zi;likutwa zimetupwa, ili kuruhusu uchunguzi huru kufanyika. "Ili kuhakikisha uchunguzi wa haki na usio na upendeleo, nimewahamisha maafisa hao...
  5. D

    Basi linalosafiri kutoka Nairobi kwenda Kigali kwa kupitia mpaka wa Rusumo.

    Nahitaji basi linalosafiri kati ya Nairobi na Kigali likipitia mpaka wa Rusumo nchini Tanzania. Naomba kufahamu jina la kampuni na ikiwezekana na nauli.
  6. Ikaria

    Maandamano yaingia usiku karibu na majengo ya Bunge, Nairobi (video)

    https://www.youtube.com/watch?v=HBNa9fVrapk Waandamanaji wanaendelea kuandamana kwa kuwasha moto katika Barabara ya kuelekea mzunguko wa Holy Basilica, karibu na Majengo ya Bunge. Licha ya maandamano ya mchana kutwa, Wabunge 204 wamepiga kura kupitisha mswada huo, huku Wabunge 115 wakipiga...
  7. TODAYS

    Jirani, Wananchi Hawaelewi Kilichopo Kichwani Kwa Rais Wao ni nini!

  8. B

    Nairobi Vs Addis Ababa

    Mpambano wa majiji makubwa Afrika Mashariki. Jiji lipi ni bora?? https://youtu.be/7eT-_d8LYbg?si=MhjPG23SbkxYbMS_
  9. Suley2019

    Pigo kwa soko la Nairobi baada ya kampuni ya Marekani kutangaza kujiondoa

    Kampuni ya usimamizi wa fedha ya Marekani, BlackRock Inc, inauza uwekezaji wake wa hisa katika masoko yanayoibuka na masoko ya mipakani - ikiwa ni pamoja na Kenya na Nigeria - ikinukuu changamoto za ukwasi katika masoko haya na ugumu wa kurudisha fedha kwa dola. Tangazo hilo linaweza kutoa pigo...
  10. J

    Machimbo ya nguo Nairobi

    Habari zenu wanaJf, ninaulizia kwa yeyote mwenye connection za machimbo ya nguo Nairobi aniunganishe nayo. Nimesikia Nairobi kuna sehemu kama Eastleigh, Kamukunji na Dubois ambazo ni kama Kariakoo ya bongo. Nguo zao ni bei ndogo zaidi hata ya Kariakoo. Kwa yeyote mwenye ujuzi au connection...
  11. J

    Pre GE2025 Ushahidi wa Mzee Mbowe akisema Msigwa ndiye aliyeshika chupa ya damu wakati wa kumsafirisha Lissu Nairobi huu hapa

    Mbowe huyu hapa akieleza kilichotokea wakati wa kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi kwa matibabu.
  12. G

    Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicts? Kwanini wao wana uraibu mkubwa wa vilevi kuliko miji ya Nairobi, Meru, Kisumu, Nakuru, n.k?

    Dear Kenyans, tunahitaji ufafanuzi Kinacchoendelea kwa sasa Kenya naona kwenye TV na Mitandaoni mkoa ya Coast ikiongozwa na Mombasa hawataki miraa na muguka kuuzwa maeneo yao. The same substances are used all over the country, kwanini ume affect sana coast? Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicted?
  13. S

    Uvukaji wa border ya Namanga / Nairobi wengi wanaotumia hizi Noah wanamia njia haramu / Mizigo ya Magendo

    Habari, Ni jambo la kusikitiaha kuwa watumiaji wengi wa Noah za Namanga Arusha Wanasafirisha bidhaa za Magendo Na wenye bidhaa hizo hawavuki border Kwa kihalali. Nina video ya Mzee mmoja hapa alichukua Rushwa jioni hii ila nimeingiwa na huruma huyu Mzee asije anapoteza kiinua mgongo chake...
  14. Uwesutanzania

    Apul aenda Nairobi

    Hii ni miongoni mwa hadithi moja tamu sana. Ni ndani ya kijitabu kidogo chenye mvuto wa aina yake. Kilichochapwa 2007. APUL AENDA NAIROBI I Ilikuwa ikimuelezea kijana mmoja ambaye alienda mjini Nairobi kwa shemeji yake kutafuta ajira, bahati inakuwa kwake ni baada tu ya kufika nyumbani...
  15. Mohamed Said

    Jomo Kenyatta (56) na Abdul Sykes (26) Katika Mkutano wa Siri, Nairobi 1950

    IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following...
  16. B

    Yoweri Museveni awapa makavu wadau wa maendeleo katika mkutano wa IDA mjini Nairobi

    29 April 2024 Nairobi, Kenya Mkutano huo ulioanza tarehe 29 April 2024 na kuhutubiwa na viongozi wa kiafrika wakiwemo rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda , William S. Ruto wa Kenya. Mkutano huo ulihudhuriwa na wakuu wa nchi 17 na pia maafisa wandamizi...
  17. Pang Fung Mi

    Nairobi Kenya: Mzungu apigwa kipigo Cha mbwa Koko na Security wa Petrol Station baada ya kumwita Nyani mhudumu wa kuuza mafuta

    Shalom, Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa...
  18. The Sheriff

    Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Kennedy Ngondi matatani kwa video ya kulazimisha kumpa mkono na kumkumbatia mwanamke wa kiislamu

    Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, nchini Kenya, Ken Ngondi, alionekana kwenye video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kumlazimisha mwanamke wa kiislamu kumpa mkono na kumkumbatia, katika hafla ya siku yake ya kuzaliwa. Tukio hilo limezua taharuki kutoka kwa wananchi wakitaka spika...
  19. Y

    Wazoefu wa safari za Nairobi

    Habari za Jumapili wapedwa. Napenda kuuliza Wazoefu wa safari ya Nairobi kutokea Arusha. Mimi naitaji kuelekea West Land. Lakini sifahamu chochote. Kwanzia Nauli ya kwenda na kurudi. Gharama za hoteli rahisi na sehemu Salama. Pia chakula na hela nichanci nikiwa navuka kuingia Kenya? Msaada...
  20. B

    Nairobi to Jozi?

    Nilikua Dar for a month hapo 2022, lakini kweli Dar pagumu aisee, ila nilijaribu niwezavyo kuhustle, kawni Ilinibidi nirudi Kenya, licha ya moja mbili tatu zinazotuma nipachukie hapa Kenya SANAA! Sababu zenyewe ambazo zikasababisha niondoke na kwenda Dar. Imefika mda tena masaibu yangu Kenya...
Back
Top Bottom