"Al-Damad" Ahmad Nami or "Damat" Ahmet Nami (Arabic: أحمد نامي) (1873 – 13 December 1962) was an Ottoman prince (damat), the 5th Prime Minister of Syria and 2nd President of Syria (1926–28), and a lecturer of History and Politics.
Tafadhali kutokana na nyie kila mara (kwa upendo na mapenzi yenu nami) mnaamua kueleza hisia zenu kwangu na kunisifia na kuishia kuhusishwa nami kuwa hizo ID's zenu ni zangu (mimi GENTAMYCINE), nawaombeni acheni kunisifia huko ili kutowakera wanaonichukia. Badala yake muwe mnaanzisha tu threads...
Mwaka fulani, nilikuwa katika wakati mgumu sana, though kidogo nilikuwa na mpunga wa kusavaivu, kuna dogo mtoto mmoja nikakutana naye ameshindwa kuendelea na masomo kwasababu ya ada, niliamua kutoa hela kumlipia ada pamoja na kwamba mwenyewe nilikuwa na uhitaji mkubwa sana. Dogo akaenda shule...
Sioni namna yoyote huyu urusi anaenda kuyaachia hayo maeneo aliyojitangazia....naona yupo tayari hata kwa kujitoa mhanga!
Nikiiangalia ile sura ya Putin siku anasema na kuihusisha nuclear, nauona wazi ujumbe wa 'bora iteketee mbali dunia yenyewe kuliko hawa West kunipelekesha'.....alikazia mara...
Daima saratani hutishia inapokuja kugonga, lakini hivyo hasa wakati mlango ambao unagongwa hodi ni wa nyumba yako. Huzuni kubwa, ingawa tiba-mionzi ni bora sana katika kuharibu kansa seli yoyote zinazo wezekana kubakia, pia hutokea kuua seli za afya katika makundi pia ·Kama jambo la kweli, watu...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camillus Wambura, ameahidi kushughulika na yeyote ambaye atakuwa na vitendo vyovyote ambavyo ni kinyume na maadili na kinyume na matendo mema ya Watanzania.
“Nitoe rai kwa mtu yeyote ambaye anadhani anaweza akaleta aina yeyote ya vitendo vya uvunjifu wa...
Nasikia kumbe aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama alikuwa Shoga ( Gay ) ila kumbe yule tuliyekuwa tunadhani ni Mkewe Michelle Obama hakuwa Mwanamke bali alikuwa ni Mwanaume na inasemekana hata Wamarekani kadhaa ( wenye Akili Kubwa na Udadisi wa Mambo hili ) walilijua ila CIA ilitumia Nguvu...
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani...
Kuna wanaosema ajira hizi za sensa wapewe ambao ni watumishi ili kudhibiti uzembe utakaojitokeza na wengine wanadai wapewe ambao hawana ajira ili walau wapate mitaji.
Makundi yote ukiwasoma katikati ya mstari wana hoja zenye mashiko lakini kuna sehemu nakubaliana kutokukubaliana.
Kundi la...
huyu jamaa nilikuwa namchukia mwanzoni. kiukweli sikuwa nimezoea stories za namna hii. unajua sisi wabongo tunapenda stories za kutia huruma,manung'uniko,kukata tamaa, huzuni n.k yaani mtu akiandika nilikunywa sumu sikufa au nilitaka kunywa sumu sababu ya shida. watu watapenda sana huo uzi...
Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,
1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge...
Siku za karibuni watanzania wamekuwa wakishangazwa na yanayoendelea, ni kama walikuwa kwenye usingizi mzito wasijue ni nini kinachoendelea lakini kadiri usingizi unavyoisha ndivyo wanabaki kufurahi.
Baadhi ya vitu vinavyoshangaza na vimekuwa kama ndoto ya kutisha ni kama:
I) Iliwezekanaje...
Nimechoka kufatwafatwa pm watu wakiniuliza kuwa nawezaje kuishi bila mapenzi!,Sasa nimeamua nije nijibu swali hili hadharani kwa manufaa ya wote.
Mapenzi yamekuwa ni mwiba kwa baadhi ya watu tena wengine wameachwa na madonda makubwa sana huku baadhi ya jamaa zetu wakifa kwa wivu wa mapenzi n.k...
Barcelona ilikuwa klabu ya kwanza katika mchezo wowote kuingiza $1bn katika mapato ya kila mwaka lakin kwa sasa ina deni karibu $ 1.4bn na hii katika miaka ya karibuni. Barcelona imekuwa katika misimu yote mibaya baada ya usiku wa Berlin mnamo Juni 2015 iliposhinda fainali yake ya nne ya Ligi ya...
Salaam wapendwa katika Malaika wa Mungu na Mungu Mkuu mwenye nguvu.
Wengi wamekuwa wakiniuliza Sana kuhusu ubini wa KISANDU inbox, naomba leo ni jibu.
Baba yangu Mzazi alipoondoka kurudi kwao Marekani alinikabidhi kwa rafiki yake Abdalah Kisandu pale Kahama, SHINYANGA na hivyo Ukoo wa Abdalah...
Watu wengi hawafahamu Ugonjwa wa Homa ya Ini maarufu kama HEPATITIS B ugonjwa huu unasababishwa na kirusi anaeitwa hepatitis B virus ugonjwa huu unawezamuingia mtu mwilini kwa njia ya majimaji yatokanayo mwilini kwa mtu alie athirika na ugonjwa huu
Umoja wa mataifa wamesema Ugonjwa huu unaua...
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.
Somo la kwanza
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba...
Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na...
Ni kawaida kwa nchi za Afrika ikiwemo Tanzania kila mtu kuwa na mbaya wake au kwa lugha nyingine tunaita mchawi. Mtu ambaye hufurahia anguko lako, mtu ambaye huumia moyo unapoinuka.
Mchawi mwingine anaadvance mpaka anaamua kutumia ulozi kukukwamisha. Mwingine hutamka maneno mabaya juu yako akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.