nape nauye

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mpwayungu Village

    Huyu Geofrey Moses Nauye ni ndugu na Nape Nnauye?

    Nimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na...
  2. JackisonDubai

    TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

    Rais Samia uliambiwa na kuonywa kuhusu kurudisha hawa majizi wasiokuwa na uchungu wowote na nchi hii ,Kiko wapi Sasa? Kwenye umeme nako mambo ovyo ovyo miaka 2 imeisha wameshindwa kupeleka umeme kwenye vijiji elfu 2 tu! TTCL inamfia Nape Nnauye mikononi mwake yeye kazi ni kushinda Airtel, Voda...
Back
Top Bottom