nape nnauye

Nape Nnauye
Nape Moses Nnauye is a Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Member of Parliament and for Mtama constituency since November 2015.

He was elected as a Member of Parliament for Mtama constituency in the October 2015 general election and was thereafter appointed by President John Magufuli as the Minister of Information, Culture, Artists and Sports in December 2015. He was relieved of his duty in a mini cabinet reshuffle by the president on 23 March 2017 and was replaced by Harrison Mwakyembe.

Nape-Nnauye11.jpg
  1. R

    Baada ya kikao cha baraza la mawaziri leo 07/03/2025; natabiri mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri? Januari na Nape watarejea?

    Leo tumeona kulifanyika kikao cha baraza la mawaziri. Kikao hiki mara nyingi kimekuwa reflection ya future strategies za chama na serikali. Tumemsikia SSH alimsamehe Makamba huko Bumbuli. Unadhani ni wizara gani imepwaya anayopewa Makamba? Je, alipopewa Wizara anaweza kupewa nafasi ndani ya...
  2. Cute Wife

    Pre GE2025 Rais Samia kamaliza kuwaadhibu Ummy na Makamba teuzi zinakuja. Nape yupo njiani kukamilisha genge la kukimbia na mabox ya kura

    Wakuu, Makamba na Ummy washamaliza kutumikia vifungo vyao, sasa hivi wapo vizuri na mama. Rais Samia kaonesha leo ni mtu wa visasi sana, ukionesha kitabia cha kumchallenge tu unafinywa fastaaa. Naona safari ya Tanga ilikuwa maalum kwaajili ya kutoa msamaha🌚. Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia...
  3. Mganguzi

    Pre GE2025 Nape Nnauye na January Makamba mfumo wa utawala wa sasa umewakataa. Nendeni upinzani mungu atawatokea mkiwa huko huku hata bungeni hamrudi 2025!

    Za ndaani kabisa ni kwamba Nape na January pamoja na wabunge 15 wa CCM hawatarudi Tena bungeni hata kama watashinda kura za maoni na kupitishwa na wajumbe,wakiwamo pia mbunge wa Sumbawanga Mjini, Mbunge wa Chato, mbunge wa Kilolo, mbunge wa Kigoma Mjini na aliyewahi kuwa spika hawatarudi kabisa...
  4. Lord denning

    Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

    Mwaka 2020 niliandika uzi humu jamvini kuhusu tofauti ndogo iliyokuwepo baina ya Congo ya Mobutu na Tanzania! Niliandika uzi ule kwa sababu kuna vitu vingi sana vilivyokuwa vinatokea wakati ule havikuwa na tofauti na mambo yaliyokuwa yanatokea nchini Congo kipindi cha Mobutu. Niliweka na...
  5. Mindyou

    Pre GE2025 Wagombea CHADEMA walivyowasili kwa mbwembwe kwenye ukumbi wa Mlimani City

    Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho. Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari...
  6. Mindyou

    Pre GE2025 Picha: Nape Nnauye atua mtaani akiwa na nguo za kiraia huku akila ubwabwa na wananchi

    Wakuu, Baada ya ukimya wa muda mrefu mzee wa bao la mkono amerudi upya kwenye ulingo wa siasa. This time kaingia mtaani kapikilisha watu ubwabwa na kupiga nao picha. Itoshe kusema kuongoza watanzania ni rahisi sana Yaani ni kuwakusanya unafanya maigizo ya hapa na pale ya kuwalisha ubwabwa...
  7. L

    Pre GE2025 Nape Nnauye amtabiri mshindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa bila goli la mkono

    Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri . Ameibuka kibabe na kutoa uchambuzi wake mfupi na tathmini yake fupi juu ya nani anakwenda kuibuka kidedea katika...
  8. M

    Kumtumbua Nape kwa kauli yake wakati ukitekeleza aliyoyasema kwa vitendo ni unafiki

    Nape hakumung'unya maneno, alisema wazi kuwa si rahisi mtu kushinda kwa kura wakati ipo namna kumtagaza aliyeshindwa kupitia watangaza matokeo. It seems falsafa hiyo ya Nape ndiyo Chama kinachotawala kinaitekeleza. Tunaendelea kuona ubakaji kutisha wa chaguzi nchini. Nape aliwahi kuzungumzia...
  9. Akilindogosana

    LGE2024 Nape Nnauye apewe maua yake kwa kuongea ukweli kuhusu mbinu Haramu za kushinda uchaguzi

    Nape Nnauye apewe maua yake kwa kuongea ukweli, kuhusu mbinu Haramu za kushinda uchaguzi. Leo watanzania tunajionea Mbinu Haramu zinazotumika kushinda uchaguzi. Pamoja na ubaya wake na mapungufu yake. Ila apongezwe kwa kuongea UKWELI. Pia soma Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo...
  10. Cute Wife

    LGE2024 Lindi: Nape ashiriki zoezi la kupiga kura Mtama

    Wakuu, Bwana Bumunda na wanchi mbalimbali wajitokeza kupiga kura uchaguzi wa serikali ya mtaa kama mnavyoona kwenye picha. Hivi ndio walisema saa nne matokeo yanakuwa tayari eeeh? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
  11. Waufukweni

    LGE2024 Huyu Nape Nnauye ndio kutuita wananchi Nungaembe! "Mkiweka Nungaembe ni Hasara"

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye katika eneo la Kiwalala katika Jimbo la Mtama Mkoani Lindi, amefunga mkutano wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoani Lindi na kuwataka Wananchi wajitokeze kwa wingi kesho kupiga kura huku akionesha...
  12. Cute Wife

    LGE2024 Nape: Kimebaki chama kimoja tu vingine vyote ni kopi. Niliwaambia wapinzani Refa akishaweka mpira kati ni Goli!

    Wakuu, Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi. Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa...
  13. Cute Wife

    LGE2024 Nape: Wapinzani wanagombana, hawana namna, Samia atakuwa Rais kwa mara nyingine tena!

    Wakuu, Mambo yanaanza kuchangamsha, bumunda karudi na makeke yake mzee ropo ropo! ===== Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Nape akiwa...
  14. Waufukweni

    LGE2024 Nape afunguka: Ukisusa CCM haiwezi kushindwa, hasira hasara

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Nape Nnauye, amefanya mahojiano na kituo cha redio cha VOS FM na kuelezea matarajio ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, ambapo kampeni za uchaguzi huo zimeanza leo kitaifa. Nnauye amesema...
  15. Informer

    Nape Nnauye: Najua nitateuliwa! Wakituchokoza, tutashughulika nao (VIDEO)

    Nape akijigamba: Maneno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama
  16. S

    Nape na January Makamba walikuwa mzigo Serikalini

    Pigo la pili kwa January Makamba na Nape Nnauye kwa Marais wawili tofauti Ni wao kujiona special toka enzi za CCJ. Wadau kwa mtizamo na jicho la kitafiti mtakubaliana nami kuwa January Makamba na Nape Nnauye Wana Maisha ya kujiona special toka enzi na enzi, ukitizama historia Yao hata ya Elimu...
  17. Pang Fung Mi

    Salamu za kheri kwa January Makamba na Nape Nnauye

    Shalom, Ndugu zangu January Makamba na Nape Nnauye kwa niaba yangu mimi na wenzangu wengine na wanachama wa CCM, sisi baadhi yetu bado tunawapenda na tuna imani kubwa nanyi na mioyo yetu bado iko na Nuru juu yenu, siasa ni sawa na mchezo wa basketball substitutions ni muda wotewote na hata...
  18. J

    The senior party member stepped down, tired or forced out?

    On this two week the political atmosphere of a long-established political party was in turmoil after the removal of two of the two ministers whom was believed to be son of the kanali Following that instead yesterday we have learned about the retirement of kanali, the caption above caption is...
  19. MamaSamia2025

    Emmanuel Ntobi awakaribisha akina Kinana, Nape kujiunga CHADEMA

    Kupitia kada wake mwandamizi ndugu Ntobi, CHADEMA imewakaribisha wanaCCM waliotumbuliwa kujiunga na chama chao wapige kazi. ========= Kupitia ukurasa wake wa X (Zamani Twitter) kada huyo wa CHADEMA ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Shinyanga ameandika "Karibuni CHADEMA tupige kazi"...
  20. R

    Pre GE2025 Nape, Januari na Kinana ndio wale waliotajwa kutukana mitandaoni? Wengine ni wakina nani?

    Nimekumbuka kuna siku tuliambiwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama mitandaoni. Wakati ule upepo wa matusi ulivuma sana kwa muda mfupi kisha ukazima Naamini mfumo ulifanyia kazi maelekezo ya mwenye nchi kuona tatizo lipo wapi. Je haiwezekani ripoti imetoka na mapendekezo ya ripoti...
Back
Top Bottom