Huku kitaa nakutana na mambo mengi sana watu wanayoshangilie kutumbuliwa kwa Nape.
Raia wanataja mambo machache nami nayaweka hapa, ukikumbuka yaweke pia ili Waziri alie ingia ashughulike nayo.
1. Anwani za makazi, walizindua kwa mbwembwe na wakatuahidi sasa itakuwa rahisi kuletewa mzigo na...