natafuta mchumba

  1. 3

    Natafuta mchumba asiye na uwezo wa kupata watoto

    Habari ya kwenu. Natafuta mchumba wa kuoa mwenye vigezo hivi. Mwenye umri miaka 40 kwenda juu Jinsia mwanamke Mkristo Asiye na uwezo wa kuwa na watoto Mwenye tabia nzuri. Ukiwa na tabia mbaya hatutadumu kwenye mahusiano. Anayejaza vigezo hivyo Ani PM namba yake
  2. Dr leader

    Natafuta Mchumba

    Namtafuta mchumba 1 Hodi naleta maombi, ya uchumba Hapa niiweke kambi, na kulimba Nile za maziwa tambi, nina sumba Namtafuta mchumba, ajilani 2 Barua hii iwazi ,isomeni Na awe yangu saizi, mleteni Wajulisheni wazazi, dalihini Namtafuta mchumba, ajilani 3 Rangi sitazichagua, auswadi Na...
  3. K

    Natafuta mchumba

    Nina miaka 32 natafuta mwanamke tufunge ndoa awe muislam umri 19/25 kabila lolote lile
  4. H

    Natafuta mchumba/ mwanamke

    Nimefuatilia post za wadada walio wengi wanaofanya biashara, wakiandika huku love connect wanasema wao ni wamachinga. Mnaweza kuwa mnajinyima fursa kwani kuna wanaume wanataka mwanamke strong ambaye pengine anaweza kusimamia au akiongezewa Nguvu kiasi ataweza kuchanja mbuga, sasa ukisha sema...
  5. U

    Nimeamua kurudi tena kwenye uhusiano, natafuta mchumba (Mwanamke)

    Mimi ni mwanaume umri miaka 33. Kazi ; nipo mwaka wa mwisho kimasomo (udaktari) niliamua kurudi kupiga tena kitabu sasa nipo mwa mwisho kimasomo . Natafuta mchumba (ke) kikubwa awe msikivu kwangu sichagui umri wala kabila. Makazi yangu yapo dar, na mpenzi wa mwisho nilimpata humuhumu ila...
  6. mshakamshaka

    Natafuta mchumba

    Natafuta mchumba. Mwenye miaka 19 to 25 Mwenye umbo na haiba ya kike. Aliye tayari kuanza maisha. Mimi ni mtumishi wa serikali. Elimu degree. Nina miaka 33. Mengine yanazungumzika njoo pm kwa taarifa zaidi.
  7. Q

    Natafuta mchumba Mwanamke

    Nipo mbele yenu natafuta mwanamke ambaye yupo single ili tuweze kuwa wapenzi na hapo badae nimuoe nimechoka kuwa bachelor kwa muda mrefu nipo serious kwa mwanamke au mdada ambaye yupo tayari PM ipo wazi.
  8. stan john

    Natafuta mchumba mwanamke

    Habari Wana jamii forum Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry Natafuta mwanamke wa kuoa , Naishi mabibo Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
  9. stan john

    Mimi ni Domo zege natafuta mchumba wa kike

    Habari Wana jamii forum, Mimi ni kijana na mfanyabiashara ,na ni Domo zege naomba mnipe mbinu ili niweze kutongoza mwanamke ,nipate mpenzi Kuwa Domo zege kunanisumbua Sana sijui kutongoza nasindwa kupata hata mchumba
  10. Prof_rutta22

    Natafuta Mchumba Dodoma

    Natafuta KAZI Dodoma mjini PM
  11. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Wadau habarini, Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa mshamba wa mapenzi alipojua saloon ni nini akachepukamazima. Kwa sasa nahangaika Sana kujua...
  12. MaT2B

    Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

    Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu. Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa. Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi...
  13. A

    Natafuta Mchumba (mke mtarajiwa): Makazi Mbeya mjini

    Kichwa cha habari cha husika hapo juu. 1. Mimi ni mwanaume ninayejielewa na nakusudia kufunga ndoa mwaka huu ikimpendeza Allah. 2. Miaka yangu 40, mwajiriwa serikalini na mjasiria mali pia. 3. Natafuta mwanamke kwa maana ya Mchumba ili ikimpendeza Allah basi tuweze kufunga ndoa mwaka huu tuishi...
  14. AnyWayZ

    Serious: Natafuta mke mmoja tu

    Habarini Mabinti na wale wenye dada zao. Nafasi ni moja tu, anatafutwa binti mzuri wa muonekano na tabia yaani Mtu mwenye Utu na Utulivu. Umri: 18-23 (Asiye mshangazi bila Kitambi) Elimu: Si muhimu. Dini: Si muhimu. Kabila: Si muhimu. Kazi: Si muhimu ila asiwe mvivu mvivu. Bikra: Si lazima ila...
  15. Q

    Natafuta mchumba

    Kama heading ilivo natufata mchumba umri wowote nahitaji mwanamke wa kwenda nae motoni
  16. S

    Natafuta mchumba ,awe na sifa ya kike haswa na awe anaishi dar .

    Umri wangu 32 Dini muislamu. makazi dar natafuta mchumba awe anaishi dar ,awe na sifa ya kike Umri usizidi 35.
  17. Q

    Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mchumba mtu mzima

    Ni kijana umri miaka 24 natafuta mchumba mwenye miaka kunizidi mm sihitaji watoto wa 2000 I need new experience if your interested kindly PM.
  18. D

    Nahitaji mchumba wa kike anaejielewa, umri wangu 25 nimejiajiri. Hata akiwa ananizidi umri sio mbaya, awe anajielewa tu

    Awe anajielewa, muonekano wa kawaida tu ila ukiwa mzuri wa sura itapendeza zaidi.
  19. S

    Natafuta mchumba awe anaishi Dar

    Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar Umri 20-35. Umri wangu 32. Asiwe slay queen. Ajue thamani ya mwanaume Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
  20. E

    Natafuta mchumba

    A/alleikum Naitwa Bakari Hamisi mkazi wa Dar es salaam. Umri 32 miaka. Kazi: Muajiliwa (Electrical engineer) Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke kama tukiridhiana Sifa Uwe Muslim Elimu yoyote Mkazi wa Dar es salaam au jirani Umri 20-29 Napatkana telegram 0759565300 or normal.
Back
Top Bottom