natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara, isiwe mbali na barabara, mwenye nayo please naomba msaada
  2. Msaada: Natafuta chumba kimoja cha kupanga self-contained Dodoma Mjini

    Kwema Wakuu, Natarajia kuwepo Dodoma mjini soon kufanya project itakayonichukua kati ya mwaka 1 mpaka mwaka 1 na nusu. Naomba wenyeji wa mji wanisaidie ABCs za kupata chumba kimoja cha kupanga self-contained chenye usalama na huduma za maji na umeme, kodi kwa mwezi etc Nicheki PM au unaweza...
  3. P

    Natafuta mke

    Habari za wakati mabibi na mabwana!! Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo, Umri kuanzia 23-25 Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma Kazi -...
  4. Natafuta mbwa wa kufuga Mwanza (wakienyeji)

    Nipo mwanza mjini natafuta mbwa Bei iwe kitonga aisee sitaki mbwa wa kizungu. Rangi: Nyeusi itapendeza zaidi Tabia: Mkali sana Bei: Isizidi elf 20
  5. D

    Natafuta mume

    Namshukuru Mungu mimi nilipata mume hapahapa JF ndoa tumefunga na nina mtoto mmoja na mume wangu siku nitaanzsha uzi hapa nlvomuadithia rafiki yangu n a yeye akanituma nmtumie maombi yake... Yeye pia ni MCHAGA single mama la mtoto 1 wa miaka 7 Baba mtoto wake hayupo kabisa Anatafuta mume...
  6. Natafuta cooler box kubwa

    Habari wana jf natafuta coolerbox kubwa ni whatsap kama unayo 0712698246 iwe kama hiyo.
  7. Natafuta Mchumba

    Mimi ni kijana wa umri miaka 28 mkazi wa Dar es salaam natafuta mchumba ambae ntafunga nae ndoa
  8. Natafuta kazi ya Usafi, House Boy

    Mimi ni kijana wa miaka 25 Natafuta kazi ya Usafi, House Boy. Elimu yangu ni kidato cha 6 pia nina cheti cha udereva🙏
  9. Natafuta kazi

    ~
  10. Ukweli ni lazima usemwe, natafuta mrembo wa kuzeeka naye. Mapungufu yangu haya Hapa

    Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao. Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda itokee tu, wana gharama sana na Mimi ni bahili sana. Mwanamke ninayemtaka awe na sifa zifuatazo...
  11. Natafuta mke au mchumba

    Tafadhali naomba nijielezee kwanza: Jina langu naitwa mosses, dini yangu mkristo, mwili wangu wa kawaida wa kimazoezi na nina six pack, urefu wangu kawaida, rangi yangu maji ya kunde, uvaaji wangu smart, sivuti sigara wala sinywi pombe, sina mtoto wala sijawai kuowa, ninaishi dar es salaam...
  12. Natafuta kazi HSE officer

    Hello wana jamii Natafuta kazi ya HSE OFFICER nina cheti cha NOSCH 1 na cheti cha RISK ASSESMENT Email yangu ni: arielle_00@yahoo.com
  13. D

    Natafuta laptop nina budget ya 200k

    Natafuta laptop used core 5 na nina budget ya 200k 255713520180 nipo dar ambayo anayo tuwasiliane
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…