Umri unaenda, majukumu ni mengi yakuhudumia familia, sioni mlango wa pesa nyingi zikija kwangu. Nimejitahidi kwa miaka mingi niwe na mapesa mengi hata niwa said ie wasio nazo, nimeambulia patupu. Niwe na pesa si kwa shida na mahitaji yangu tu, natka kusaidia jamii ya wasiojiweza,mayatima na...