nature

  1. LIKUD

    Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

    Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi. But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu. Siji identify na dini yoyote. Nimeujua ukweli kuhusu dini zote. Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Kiasili kila mwanadamu ni mfanyabiashara huwezi kuikimbia asili, ukistaafu utairudia tu

    Biashara ni kitendo cha kubadilishana vitu. Mfumo wa ajira ulikuja ili kupata watu wa kusaidia kazi watu wengine ambao wanafanya biashara fulani.😃😃😃😃 Kama sikosei mfumo ulianza kipindi cha zamani huko watu walipoanza kutawala wengine. Kunazuka wanadamu wajanja ambao wanawazidi wengine akili...
  3. maroon7

    Sir Nature na Inspector Haroun wamerudi

    Hawa jamaa wamerudi na ngoma yao nyingine ya mzee wa busara part II. Wanafurahisha tu kuwaskia tena baada ya miaka mingi wamenirudisha back in time. Nature kweli kiroboto yupo vilevile na ubora wake wa sauti ni uleule. Jamaa na jumbe zao za kufurahisha wataleta ladha tofauti kwenye mziki wetu wa...
  4. Sky Eclat

    Mother Nature ni kivutio kikubwa cha utalii huko Karura Forest, Kenya

  5. OKW BOBAN SUNZU

    Lyrics Master umeshindwa kuweka Mistari ya Hili Game ya Sir Nature

    Lyrics Master ameshindwa kuthibitisha umasta wake kwenye lyrics. Juzi kati nilimpa mtihani kama usahili akasema atarudi na mistari. Leo wiki ya pili amekimbia Jukwaani. Nilijua nitamnasa tu. Mistari ya Hili Game anaijua Juma Kassimu peke yake nina hakika hata P Funk aliyerekodi haijui. Sasa...
  6. Jamii Opportunities

    Aquaculture Specialist at The Nature Conservancy (TNC)

    Aquaculture Specialist Job ID 51655 Location Africa Full/Part Time Full-Time Regular/Temporary Regular OFFICE LOCATION Dar es salaam, Tanzania Position is flexible to Dar es salaam or Zanzibar, Tanzania YOUR POSITION WITH TNC The WIO Aquaculture Specialist supports the Africa Fisheries Strategy...
  7. Your Construct

    You Are God - A Philosophical Essay on the Nature of Existence, Reality, and Immortality

    TLDR – Causing suffering and death on other conscious beings makes you grow old and die. Refrain from causing suffering and death and you can make yourself immortal. And just to clarify, I do mean actual physical immortality where you live forever in the physical body that you inhabit; none of...
  8. Khadija Mtalame

    Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma Nature na Diamond nani zaidi?

    wakuu kwema? Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma nature na Diamond nani zaidi? nikamuangalia nikamuuliza una umri gani kaniambia kazaliwa 2002, nikacheka sana halafu ni mbishi mpaka nikataka kumzaba makofi. ebu tumsaidieni nani mkali kati ya hio miamba miwili hapo juu,then nitampa...
  9. JanguKamaJangu

    Rais Samia amkumbuka Juma Nature, hii ni heshima kubwa kwa mkongwe huyu wa Bongo Fleva

    Nukuu ya Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa jingo la benki, Machi 5, 2022 amemtaja staa mkongwe wa Bongo Fleva kwa kunukuu moja ya mstari wake aliowahi kuuimba kwenye kazi zake za muziki. Hii hapa nukuu ya mama Samia: "Mwanangu Juma Nature alisema, kwani wao...
  10. sinza pazuri

    Juma Nature ndio best storyteller wa muda wote Bongo. Wasanii wachanga mnao-rap jifunzeni kwa Juma Nature

    Kwenye muziki wa hiphop bongo hakujawahi kutokea msanii mwenye nguvu kama Juma Nature. Juma Nature aliingia kwenye muziki akaukuta umejaa umarekani mwingi na akaubadilisha mchezo kabisa. Silaha yake kubwa ilikuwa ni storytelling. Ipo wazi Juma Nature ndio bingwa wa storytelling kibongobongo...
  11. mgt software

    Kupotea kwa TMK ya Juma Nature na Chege ni Pigo kwa Muziki Industry, walinogesha sana matamasha, waliopo wanajichetua sana

    Wana JF, Kama ulikuwa hujui, kundi pekee la kibongo lilioanzoshwa chini ya Juma Nature na Chege Chigunda ndilo kundi pekee lililokuwa linashambulia jukwaa, kiasi kwamba kwenye kiti linahakikisha Hawaii mtu. Hata hivyo nashindwa kuelewa walifeli wapi? Mfano tuliambiwa Juma Nature alipata pesa...
  12. Superbug

    Nature hates vacuum Polepole and Ndugai fits it after 28/10 fraud

    It is the law of the nature that vacuum should by all means possible be filled in. The parliament needs opposition voices for it to be meaningful but the election results of 28/10/2020 ousted opposition intentionally. Now polepole and Ndugai inclinate to the call of nature.
  13. B

    Suala la wamachinga acheni nature iamue

    1. Kumfukuza machinga ndani ya nchi yake ni unyanyashaji 2. Kutumia nguvu Ni kudharau wasomi na vyuo vikuu vyetu kuwa vimeshindwa kuzalisha wasomi wa kusaidia jamii kutatua Changamoto kama hizi 3. Kuona wamachinga ni tatizo katika jamii ni ubinafsi na kudhani nchi Ni ya baadhi ya watu. Lkn...
  14. Pascal Mayalla

    Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...

    Wanabodi, Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku Psychoanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia zake za sasa kuweza ku détermine tabia zake za huko tunakwenda na ni nini...
  15. Deejay nasmile

    Kwenye hii, Upo wapi, nyeupe au nyeusi?

    Nimewaza sana.....hapo nani ANAIMBA na nani ANAIMBA IMBA..??
Back
Top Bottom