Kichwa cha habari kimejitosheleza kiwanja kina hati kabsaa hakina dalali me ndio muhusika...
Phone: 0712183658
Mita 200 toka barabara ya lami ya goba mtaa barabara ya mwishekhe
Habari wakuu.
Kwa wale maboss zangu wawekezaji nimewaleta kiwanja ambacho kipo Luguluni mkabala na nyumba ya mkuu wa wilaya ya Ubungo.
Kiwanja kina sifa sifuatizo.
(1) Hati ya wizarani matumizi ya makazi au biashara
(2) Sqm 1380
(3)Kiwanja kinatazamana na...
Wakuu maji yamefika shingoni naomba niuza asset yangu 1 nisolve mambo mengine niendeleze asset zingine.
Sqm ni 1280
Sehemu ni Nyamhongolo
Bei 25M bei mazungumzo
Simu: 0621 622 070.
Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza
Bei 3.2Milioni
Maongezi kidogo yapo
Cantact 0687536389
Habari wakuu nauza kiwanja chenye hati ( SURVEYED PLOT) MBWENI MPIJI (Block No 09,Plot 139)
UKUBWA WA KIWANJA SQM 820
KUNA BANDA KUBWA LA VYUMBA VINNE LENYE WAPANGAJI
BEI: 110M
MAWASILIANO:0621973591
Kwa video na picha zaidi nichek Whatsap.
Nb: Kiwanja hakina udalali nauza mwenyewe ila dalali...
Ni kiwanja namba 696 kina ukubwa wa sqm 12570. Matumizi ni Housing Estate. Kipo Mtaa wa Vikonje Kata ya Mtumba Dodoma Jiji. Bei ni 6,000/ kwa sqm moja. Kinafaa kwa shule, ofisi, apartments, hotel nk. Kimepimwa na hati iko kwenye process.
Mazungumzo yapo.
Umbali kutoka mji wa kiserikali ni km 4...
PLOTS FOR SALE
Total Size – 4000Sqm
Price – 360,000,000 TZS
Location – Mtaa (Sala Sala )
Kata (Wazo )
Barabara (Flamingo Road)
Wilaya ( Kinondoni )
Title Deed – Under process
Residential Purpose
Close to Waziri Dorothy Gwajima
3 plots of 1333 sqm can be sold separately for 120M each.
serious...
Kiwanja kipo kigamboni kisarawe 2
Km 1 kutoka barabara kuu.
ukubwa ni 20 kwa 20
Kipo eneo zuri linaloanza kuendelea
Bei ni milioni 5 (mazungumzo yapo)
Hakuna dalali ni changu mwenyewe.
Ukihitaji maelezo zaidi mawasiliano haya hapa ya mmiliki
+255659252713
NAUZA KIWANJA CHANGU
📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION
🧵Umbali:
👉 5 km kutoka Bunju
👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road
👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH)
• Kiwanja kinagusa barabara kubwa ya mtaa
• Kiwanja kina nyumba ndogo ndani yake yenye vyumba viwili na sebule
• Pia...
NIMEKWAMA NAUZA ENEO LANGU KIBAHA KWA MFIPA.
LIKO SEHEMU NZURI HUDUMA MUHIMU ZIPO.
NGUZO MBILI ZA UMEME MPAKA SAITI.
MCHANGA UKO HAPO HAPO
TOFARI MAPAKA SITE TSH. 750
MAJI YAPO JIRANI TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUYAINGIZA
KUTOKA MAIN ROAD KM. 1.5
Square mita 300
Bado sijapata mteja sahihi.
NATAKA...
Nauza kiwanja changu niki kizuri kipo Iringa mjini maeneo ya Tagamenda karibu na shule ya secondary Tagamenda
Ni kilomita chache kutoka ipogolo stand
Hatua 28 kwa 20
Bei Tsh 1,500,000
Haipungui
Piga 0759500807
Karibuni
Hichi hapa kwa picha
Huu ndio mtaa kilichopo kiwanja barabara...
Habari
Nauza kiwanja changu ambacho unaweza jenga nyumba ya makazi chenye ukubwa wa miguu 20 kwa 19 maeneo ya Kibaha kwa Mfipa. Tshs 5,000,000.
Kutoka Kwa Mfipa stand hadi kwenye Kiwanja kwa pikipiki ni mwendo wa dakika 7-10 na kwa miguu ni mwendo wa dakika 20-25, kipo upande wa kushoto ukiwa...
Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30.
Bei ni milioni 14
Nyaraka Serikali za mitaa.
Huduma zote za kijamii zipo
0762282526
Kiwanja ni changu mwenyewe na kina ukubwa wa 520 SQM.
Kipo Engosheraton kata ya Sinoni. Jirani kabisa na Shule ya Sekondari ya Misheni ya Edmund Rice.
Kiwanja kimezungukwa na Huduma zote za kijamii.
Wasiliana nami kwa 0744718928. karibuni sana.
Salama wakuu?
Nauza kiwanja Mtwara Mjini bei 6Milioni.
-Kipo magomeni, 1 km kutoka stendi kuu ya mabasi Mtwara.
-kuna banda watu wanakaa
-kipo jirani na chuo cha afya COTC
-Kimepimwa sqm 317 na hati ya wizara ninayo.
-Tambalale,barabara,umeme na maji vipo hapo hapo.
Mawasiliano 0769476225
Salam wakuu,
Nauza kiwanja chenye urefu wa mita 35 na upana mita 20.
Kimepimwa(surveyed)
Bei ni Tsh. Milioni 3
Plot number 594
Location: Morogoro, Mkundi.
Mawasialiano zaidi: WhatsApp number 0742666736
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.