kiwanja kiko Bunju A, Kinondo. Mpakani mwa Madale na Mbopo
ukubwa ni hatua 22 kwa 25
dakika 10 kwa Boda kutoka Bunju Shuleni
Kimehakikiwa na namba ya uhakiki ipo (hati bado)
Kinafikika kwa namna zote: miguu, pikipiki, baisikeli au Gari
eneo limejengeka sana
6,500,000Tsh tu za Kitanzania...
Nauza kiwanja changu Chalinze mjini bei milioni mbili na nusu kipo kudiyembe umeme hauitaji jengo nikuvuta waya tu ukubwa wa kiwanja 20*19 mawasiliano 0656660026.
Kiwanja kipo 2Kms kutoka KIBADA kuingia barabara ya mtaani
Tayari kumejengeka na nyumba za kifahari
Eneo: 972 Sqm (Pameshapimwa na mawe tayari yameshawekwa)
Nyaraka: Mauziano ya Serikali ya mtaa
Bei: TZS. 25m
Mawasiliano: 0717 650800
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.