Yvonne Ndege is an international journalist, and media and communications professional. She started her career at the British Broadcasting Corporation, as a graduate trainee in London, United Kingdom.
Shirika la sayansi za anga za juu la Marekani yaani NASA, limefanikiwa kutengeneza ndege itakayo safiri kwa Kasi kubwa kuliko ya Ile ndege ya zamani iliyostaafishwa yaani Concorde.
Ndege hiyo mpya hiyo hapo pichani inaitwa x-59 inauwezo wa kusafiri kutoka Jiji la New York mpaka Jiji la London...
Bado dunia iko kwenye kizungmkuti cha kinachoitwa kifo cha Boss wa Wagner PMC Prigozhin na wenzake katika ajali ya ndege.
Huyu mwamba aliwahi kufeki kifo chake hivihivi kwa jina lake kuonekana lilikuwemo kwenye list ya watu waliosafiri. Hii ilikuwa ni ajali ya ndege iliyotokea Congo mwaka...
Akizungumza katika Televisheni ya Taifa, Rais Vladimir Putin ameitaja ajali ya Ndege hiyo kuwa mbaya na imeua Watu 10 ambao ni Wafanyakazi wa Jeshi Binafsi la Wagner akiwemo Kiongozi wake, Yevgeny Prigozhin ambaye ametoa mchango mkubwa kwa Taifa hilo.
Pia, amesema Kamati ya Uchunguzi imeanza...
Jamaa aliona isiwe tabu, kaondoka na ndege kama ambaye anakwenda kushambulia, ila katua Ukraine na kujisalimisha.
Ndio kilichobaki sasa, maana wanajeshi wa Urusi mpaka sasa hawaelewi nini sababu za wao kuendelea kufia kwenye nchi ya watu tena kwa maelfu, "mizoga" yao haitarejeshwa nyumbani...
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika...
Ninamaanisha dege ndogo ya kawaida (aeroplane) yenye uwezo wa kubeba abiria watatu na helikopta yenye uwezo wa kubeba abiria watatu.
Naomba kufahamishwa:
A. Bei yake ikijumuisha gharama za ununuzi, usafirishaji na usajili
B. Makadirio ya gharama za kuihudumuia kwa mwezi. Wastani wa safari...
Dah! Haya mambo ya drones ndio future, sijui Afrika tunajipangaje, yaani ndege za kivita tena za gharama zinapotezwa na drones kizembe tu............Mrusi hatokaa asahau huu ujinga alioanzisha.
As a result of the attacks on the Soltsy and Shaikovka airfields, two Tu-22M3 strategic bombers were...
Hamna sehemu salama ndani ya Urusi....
AIRFIELD "SHAIKOVKA", PHOTO: RUSSIAN MEDIA
A kamikaze drone crashed at the Shaikovka airfield in the Kirov district, Kaluga Oblast, Russia, on the morning of 21 August. Early reports suggest a plane was damaged.
Source: Vladislav Shapsha, Governor of...
At least seven people, including a child, were killed and 129 were wounded in a Russian missile strike on the northern Ukrainian city of Chernihiv on August 19, Ukraine's Interior Ministry said, while President Volodymyr Zelenskiy said a "terrorist state" had carried out the attack and caused "a...
Hapa sasa vita vitakua vinakwenda kwenye kiwango kipya, angani...
=========
President Volodymyr Zelenskyy, who is currently on a visit in the Netherlands, has announced that 42 F-16 fighter jets "will be in Ukrainian skies".
Source: Zelenskyy on social media, Zelenskyy and Mark Rutte during...
Niende moja kwa moja.
Toka nianze kufuatilia siasa niwe mkweli wewe ni rubani wa kwanza kuwa na wakati mgumu zaidi hasa katika kipindi hiki cha utandawazi. Najiuliza Nini kimekupata? Mbona abiria Hawana Imani na wewe? Je umejikwaa rubani wetu au huna Nia ya kutufikisha salama. Tazama dege letu...
Huko Niamey leo hii ndege ya kijeshi ya Urusi ikiwa na mamia ya wapiganaji wa Wagner wanaodaiwa kuchukuliwa kutoka Syria wametia timu Niger.
Wagner imewaajiri maelfu ya maveterani wa vita kutoka Syria, ambao walikuwa wanapigana kulinda serikali ya Syria dhidi ya ISIS, Al-Qaeda na FSA...
Toka imeondoka nchini kuelekea kule Arabuni nadhani ndiyo ilikuwa safari ya mwisho hadi leo sijaona ikiwa hapa uwanja wa ndege Dar Es Salaam au kule Zanzibar.
Kwenye ile rada maarufu ya kutrack ndege inayoitwa Flightradar24 haionekani, lakini ukiacha hiyo ambayo inawezekana ikafahamika ilipo je...
Picha 1: Eneo ambalo ndege imeanguka
Watu takriban 10 wamepoteza maisha baada ya ndege ya kukodisha kuanguka kwenye barabara kuu kaskazini mwa Kuala Lumpur siku ya Alhamisi.
Ndege hiyo, iliyokuwa na abiria sita na wafanyakazi wawili wa ndege, iliondoka kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
PHOTO: RUSSIAN AIRPORT OF VNUKOVO
The Russian airport of Vnukovo was closed for takeoff and landing on the afternoon of 6 August, allegedly due to "dangerous targets" in the sky.
Source: Russian state-owned news agency TASS; Mash Telegram channel; Moscow Mayor Sergei Sobyanin, on Telegram...
Dassault Rafale ni ndege ya kivita ya Ufaransa yenye uwezo wa kufanya kazi katika anga, ardhi, na baharini. Iliundwa na kampuni ya Dassault Aviation na ilianza kutumika mnamo mwaka 1986. Ni ndege ya kwanza ya Ufaransa ya kizazi kipya na ina sifa kubwa kwa utendaji wake.
Ndege hii ina silaha za...
Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je...
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa...
MABORESHO SHIRIKA LA NDEGE TANZANIA (ATCL)
Shirika la ndege tanzania (ATCL)
Ni shirika la kiserikali linalojihusisha na usafirishaji kwa wa mizigo na watu kwa njia ya anga lililopo chini ya mmiliki wa Ndege za serikali TGFA
Toka shirika hili lifufuliwe chini ya uongozi wa hayati John...
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
Chuma hiki hapa kimeonekana kimetua Oman jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.