Mthembeni Ndevu (born 15 September 1992), better known by his stage name Emtee, is a South African rapper. He is best known for his debut hit single, "Roll Up". Emtee was signed to Ambitiouz Entertainment, a South African independent record label. His debut album Avery was certified platinum by RISA on 1 July 2016.Avery included his breakthrough hit "Roll Up" and the follow-up hit single "Pearl Thusi". Emtee released his third album Manando in September 2015, the title referring to his late brother. His third album DIY 2 was released in 2018 and marked his final release with Ambitiouz Entertainment, following his departure from the label in August 2019. He then launched his own label in September the same year.
Hello guys!
Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?
Asili ya nyumbani wote wana ndevu.
Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba...
Wananzengo salama?
Nahitaji dawa ya kuongeza ndevu pamoja na mvi za kichwani na kwenye ndevu
Nina mvi chache kwenye ndevu na nyingine kichwani so nahitaji ndevu zote ziwe nyweupe na kichwani pia
Kama kuna dawa unaifahamu nambie inaitwaje.
Habari wakuu
Mimi binafsi swala la ndevu naliona kama kero, nilikuwa nauliza ni namna gani mtu anaweza kufanya ili asiewe na ndevu .
Kuna muda ndevu zinanipotezea muda, zinaharibu mwonekano kabisa ,nataman kidevu kiwe cheupe ,ndevu ni kero tupu ...
Mwenye namna yeyote wakuu msaaada
Natumai mpo poa!; na wenyeshida poleni sana.
Leo nimekutana na mmasai mmoja ananiambia anadawa ya mitishamba ya kuzuia ndevu kuota. Anadai unapaka mfano kwa kufuata kuliacha labda umbo la O vile unataka au zote zisiote .Pia nywele za kwapani hata ikulu. Nikashituka mmm! hivi kweli hichi kitu...
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.
Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema muisrael.
Kwa yeyote anaye fahamu dawa ya kuzuia ndevu kuota kwa haraka ama kuzuia zisiote kabisa...
Kwa muonekano mzuri wa ndevu zako tumia mafuta haya hujaza ndevu,huzipa ndevu mng’aro ,kuzuia muwasho,,kuzuia vipele na kuafanya ndevu zichanike kirahisi..
Suffer from a dry and brittle beard ? , we crafted a simple beard care routine to get your beard moisturized, soft,shining and promotes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.