ndogo

Ligi Ndogo Soccer Club (pronounced [liɡi ˈndoːɡo] (listen) or [liɡi ˈndɔːɡo] (listen); also known as The Planets or simply Ligi) is a football club and youth academy based in Nairobi, Kenya. The senior team currently competes in the National Super League, the second tier of the Kenyan football league system. The club's name is Swahili for "little league".
The club's youth academy was founded by current chairman Chris Amimo and Karani Nyamu in February 2002, and in 2005, the first senior team was formed and has played at Ligi Ndogo Grounds along Ngong Road since then. The team briefly used the Nairobi City Stadium in 2012 for its home games while their Ngong Road grounds were undergoing renovations.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Ngome ndogo ya von Wissman Bagamoyo

    NGOME NDOGO ALIYOJENGA HERMANN VON WISSMAN BAGAMOYO Kiasi cha miaka 10 iliyopita nilifika kwenye hii ngome ndogo aliyojenga Hermann von Wissman wakati jeshi lake lenye askari wa Kinubi na Kizulu walipokuwa wanapambana na jeshi la Abushiri bin Salim Al Harith. Wakati huo niliikuta ngome hii...
  2. Analogia Malenga

    RC Kafulila: Tanzania gharama za umeme ni ndogo

    Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila, amesema licha ya kuwapo kwa baadhi ya changamoto ya utoaji wa huduma za umeme, lakini Tanzania ni nchi pekee katika mataifa ya pembe ya Afrika Mashariki yenye gharama ndogo zaidi ya tozo za umeme, ikilinganishwa na nchi nyingine za ukanda za huo. Hayo...
  3. astalavista

    INAUZWA Friji ndogo inauzwa 150,000

    SOLD SOLD SOLD Ni kampuni ya GEC Imetumika miaka mitatu Gas ipo Taa ya ndani inawaka. Location Mbezi mwisho barabara ya Kinyerezi. BEI ni 150,000/= NJOO UIKAGUE THEN TUFANYE BIASHARA. 0687603307
  4. Stephano Mgendanyi

    Kenani Kihongosi: Jumatatu 16.8.2021 kuanzia saa 3 Asubuhi nitakuwepo ofisi za UVCCM Upanga Jijini Dar

    KATIBU MKUU WA UVCCM TAIFA NDUGU KENANI LABANI KIHONGOSI ATENGA MUDA WA KUSIKILIZA NA KUPOKEA MAONI NA USHAURI. KESHO JUMATATU 16.08.2021 SAA 3 ASUBUHI KATIBU MKUU WA UVCCM TAIFA NDUGU KENANI LABANI KIHONGOSI ATAKUWEPO OFISI NDOGO ZA UVCCM UPANGA DAR ES SALAAM VIJANA WOTE MNAKARIBISHWA SANA...
  5. B

    Ramani ndogo ya nyumba inahitajika

    Vyumba viwili, kimoja master Dinning, sitting, jiko na public toilet Simu 0712464478
  6. Kijogoodi

    Kama hii ndiyo idadi ya CHADEMA kutoka mikoa kuja kwenye kesi ya Mbowe, basi chama kimepoteza mvuto kabisa

    Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe. Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja...
  7. NostradamusEstrademe

    #COVID19 Nimegundua unaweza kuwa na Elimu kubwa ukawa na IQ ndogo

    Najaribu kutafakari yanayoendelea sasa mjadala kuhusu chanjo ya COVID na jinsi baadhi ya watu, viongozi wa dini na wanasiasa wanavyolichukulia jambo hili kwa wepesi na kuhoji uhalali wake ilhali wao wenyewe walishachanjwa toka utotoni. Je, wasingechanjwa wangekuwa hai leo? Utamtumainije Mungu...
  8. MSHINO

    Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu

    2017 Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu, kumbe Hayati Rais wangu aliposema sisi ni donor country alikuwa ana maanisha. Hivi kweli inakuja akilini kuomba misaada kutoka vinchi vidogo km Belgium, Netherlands au Uswis? mfano Ebelgiji inaingia mara mbili katika hifadhi ya serous. BELGIUM...
  9. Livingson1

    Biashara ndogo za chakula zinazoweza kuanzishwa kwa mtaji mdogo kabisa

    1 Chipsi. Mtaji ni mdogo hapa unaeza anza na ndoo moja ya viazi, mafuta lita 2 vyombo vya kupikia na vyombo vya kuuzia bila kisahau genge ama banda la kupikia na kuuzia. 2 Sambusa. Mapishi ya sambusa pia ni biashara nyingine isiyohitaji mtaji mkubwa. 3 Maandazi. Biashara ya kuuza mandazi...
  10. N

    #COVID19 Waziri Gwajima: Marekani imechanja 2.4% ya watu wake na J&J

    Wakati akitoa hotuba ya uzinduzi wa chanjo ya Covid 19 aina ya Johnson and Johnson. Waziri wa Afya, Dr. Dorothy Gwajima amesema kuwa Serikali ya Marekani imetumia chanjo hiyo kuwachanja raia milioni 8 wa Marekani. Sasa ukiangalia population ya USA ni watu 332,915,073. Ambapo hao milioni 8 ni...
  11. simon baker

    Natafuta gari ndogo Dar budget 4mil

    Tafathali rejea hapo juu, Binafsi natafuta gari ya mishe za hapa mjini. budget 4mil Namba kuanzia B..japo hata Kama una A unaamin Ina thaman tupia haina shida maana mi fundi ntaikagua mwenyew Vits RS /ist/gx110 ndo huwa mpenz Dondosha picha na namba nichambue
  12. K

    Hatma ya GNU Zanzibar: Karama itaamua badala ya hekima, Chaguzi ndogo zinafichua dhamira

    Mada inahusika Hili la GNU ni mwiba kwa Watawala. CCM inawakwaza kuitekeleza Katiba inayotaka GNU, huku wakivurugana. Utekelezaji wake unategemea Karama na wala si Lazima. Hekima ni mwiko. Naam. Hii GNu ya Dk Mwinyi mwisho wake unaonekana kwa macho ya karibu. Nia njema au mbaya itaonekana...
  13. B

    Tozo za miamala ya simu ni kikwazo kwa biashara ndogo

    Kama kuna mahali serikali hii imekosea ni kuhusu hii tozo ya miamala ya simu, madhara yake yatakuwa makubwa sana kwa biashara za watu wa chini. Wafanyabiashara wadogo wengi hawatumii bank kufanya manunuzi na malipo mbalimbali. Tozo iliyowekwa ni kubwa kuliko faida tarajiwa katika muamala...
  14. EINSTEIN112

    Iran Nuclear Centrifuges zashambuliwa na Drone ndogo, wameshainyooshea kidole Israel

    A sabotage operation against one of the buildings of Iran’s Atomic Energy Organization (IAEO) caused major damage – despite Iranian denials, The Jerusalem Post learned on Wednesday night. Although Iran has claimed throughout the day that the sabotage failed and caused no damage or casualties...
  15. M

    Computer4Sale Computer, Laptop na Printer ndogo sokoni

    Printer ni HP Laptop ni samsung Computer ni ONDA Bidhaa zote zilikuwa zinatumika ofisini Bei laki 7 fixed for all Location Dar es salaam Communication 0625825641
  16. M

    Natafuta gari ndogo

    Habarini wanaJf, natumai mu wazima wa afya. MwanaJf mwenzenu ninatafuta gari ya kufanyia biashara ya kusafirisha abiria kwa njia ya mtandao, lengo ni kujikwamua kiuchumi kwa kipato cha halali kama kijana. Leseni na account za uber, bolt na nyinginezo, ninazo, na napatikana Daresalaam...
  17. P

    Less government ya Spika Ndugai naiona imekaa kisiasa zaidi, Serikali ndogo kwa sasa hatuiwezi

    Nimeitazama ile video ya Mheshimiwa Job Ndugai inayotembea mtandaoni, anasema serikali ipunguze kuingilia kila kitu. Anatua maneno watu waachwe wajinafasi na sio kila wakipita wanakutana na mkono wa Serikali. Kikatumika kingereza akisema maneno 'Less Government' akimaanisha kupungua kwa uwepo...
  18. William Mshumbusi

    Uzawa ni dhana ya kishenzi inayotumiwa na wanasiasa janja janja na wenye Akili ndogo kabisa

    Ukifatilia tawala kubwa zilizopitA kale, za Sasa na matAifa yaliyoendelea kiuchumi Kuna mchango mkubwa Sana wa wageni kutoka nje. Ukiangalia asili ya Trump na Obama wote walitoka nje ya marekani. Ukizungumzia nguvu ya kivita Basi zungumzia nguvu za waisraeli waishio Marekani na Russia ndio...
  19. M

    Natafuta Tajiri wa Gari ndogo

    Habarini humu ndani, Mimi ni dereva natafuta tajiri mwenye gari ndogo, nifanye nae kazi mkataba ama hesabu ya siku. Asanteni
  20. EJOSMAT

    INAUZWA Vifaa vya electronics vinauzwa

    Printer hp 7500 a wide format------laki 3 Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu Sigma lense 170-500----------------laki 4 Studio light na background yake laki 4 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267 664
Back
Top Bottom