SPIKA NDUGAI APUUZWE TU
Tatizo la Tanzania ni Bunge kutaka kuwa juu ya Mihimili mingine. Kikatiba, watu wenye akili na mitazamo za kindugai wanatafsiri vibaya, si kwamba kuisimamia serikali ni kuilazimisha kufanya matakwa ya bunge.
Kauli ya Spika Job Ndugai kwenye mkutano wa uzinduzi wa...